Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Habari wana jamvi,
Kufuatia kupata taarifa za kiintelijensia kwa kamati iliyoundwa na Ndugu Erickb52 kuwa haiko katika kufanikisha harusi hiyo ila tu ni kuitumia kwa faida zao binafsi yeye na amyner, mimi kwa kushirikiana BAGAH na wadau wengine tunaomba kuikataa kamati hiyo ambayo hatujuia hata ilichaguliwaje na tunaomba tume huru na yenye kutenda haki ya uchaguzi wa kamati hiyo ya harusi hiyo. na apatikane mwenyekiti mpya.
Naomba pia msaada kwa wanaharakati wengine katika kufanikisha hili, tena kwa kuanzia naomba michango yote ikusanywe kwenye account ya JF. na sio kwa account zao wenyewe!!
Naomba kuwasilisha, naomba sana ushirikiano wenu pia especially Mtei, Kongosho, Nitonye na wengine woooooooooote.
Sina IMANI KABISA NA b52
Kufuatia kupata taarifa za kiintelijensia kwa kamati iliyoundwa na Ndugu Erickb52 kuwa haiko katika kufanikisha harusi hiyo ila tu ni kuitumia kwa faida zao binafsi yeye na amyner, mimi kwa kushirikiana BAGAH na wadau wengine tunaomba kuikataa kamati hiyo ambayo hatujuia hata ilichaguliwaje na tunaomba tume huru na yenye kutenda haki ya uchaguzi wa kamati hiyo ya harusi hiyo. na apatikane mwenyekiti mpya.
Naomba pia msaada kwa wanaharakati wengine katika kufanikisha hili, tena kwa kuanzia naomba michango yote ikusanywe kwenye account ya JF. na sio kwa account zao wenyewe!!
Naomba kuwasilisha, naomba sana ushirikiano wenu pia especially Mtei, Kongosho, Nitonye na wengine woooooooooote.
Sina IMANI KABISA NA b52