Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Nashangaa hata mimi....
Uzuri ni kwamba umejiuliza maswali na baadhi ya majibu tayari mwenyewe unayo. Zaidi sasa wananchi tunaweza kuelewa sasa kwamba kuna agenda yenye siri nzito sana katika mgao wa umeme. sio uhaba wa maji, sio uchakavu wa visima vya gesi, sio ku-service visima vya gesi, sio uhaba wa fedha za kuendeshea mitambo, na sio, sio, sio, sio.Maumivu nchi inayoyapata kutoka na blanda za ngeleja, kwa maslahi yake, linakula kizazi cha sasa na kijacho. Kwanini kijana huyu ngeleja aslambwe viboko? Sekta inayotegemea umeme, uzalishaji umekuwa wa ghari mno kiasi kwamba cost per unit imepanda sana kiasi kwamba nchi iko kwenye shida.
Fikiria tangu mwaka 2002mpaka sasa 2011 bado jibu la serikali kwamba inalishughulikia hili tatizo la umeme! Je sisi ni kondoo???????????
Mi jajiuliza
- Hakuna pesa ya kutosha ku- deal na issue hii ya umeme ili soln ipatikane?
- Je shirika halina planning officer yaani kujua miez flani maji yatapungua na juhudi gani zichuliwe ili kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa?
- Au ni janja ya wale wanao deal na kuuza generators , na solar energy ili wauze kwa wingi ka kupata profit wahusika wa wizara wanahongwa?
- Mi siridhiki na wizara ya nishati inavyo operate, na kulichukulia kukatika kwa umeme ni jambo la kawaida.
- Binadamu gani asiye jisikia vibaya kwa mwenzake anavyo pata hasara? Vyombo vyote vinavyo tumia umeme, na vyakula vyetu, vimeharibika, kisa deal ya ngeleja awe tajiri kama Lowasa kwa gharama za watanzania?
- Mungu nisamehe kwasababu nina hasira.
Hiyo ni Promotion of corruption bureau! Itamkamataje waziri tena waziri wa ccm!Makubwa haya.
yaani mpaka wawakilishi wa wananchi wanahongwa.
PCCB huko Tanzania / Tanganyka fanyeni kazi Yenu
Ningependa kujua mnyika nae alichukua? Maana nimiongoni mwa wanakamati
John Mnyika,ila kwa taarifa nilizozipata Mnyika na mbunge mwingine sijamjua jina bado wao walizikataa hizo bahasha na kuripoti kwa mwenyekiti wa kamati juu ya mchezo huo mchafuNi mbunge gani wa CDM ambaye yuko kwenye hii kamati aanze kwa kujiuzulu. nitajieni anaitwa nani
Kama Hao Wabunge walipita kwa Tisheti na Kanga, watafanya nini jipya