Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Mkuu mimi nitajitolea hammer langu kama usafiri wenu
Nshomile ni nshomile tuuu...... jasiri jaachi asili!!
Mkuu mimi nitajitolea hammer langu kama usafiri wenu
nishatoa sababu kwanini mimi siwezi kukosa kwanza husy ni mke mwenza na ni wifi yangu halafu hao kina bagah wamefanyaje teena?Hahahahaaaa unashangaaaaaa!
Mambo ya kifamilia hayo....
Nilitoa sababu kwanini nimemteua Amyner kuwa muweka hazina wa kamati....
Ana uzoefu sana kwa haya mambo ya pesa wala usijali Kaby
Na ukiendeleza majungu yako naongea na Katavi uishie getini kama akina Mtei na Bagah
Teh sawa ngoja tuendelee kuwangoja watakuja muda si mrefuMtafute katibu wa kamati ya maombi Smile au msaidizi wake Kin'gasti, ukiwakosa basi jaribu kwa mwenyekiti kivuli wa kamati ndugu PJ, hat Bujibuji pia anaweza kuwa na idea nzuri tuu.... kwa sasa niko busy kidogo!
usitake picha subiri siku ifike pyaaaaaaaaaaHahahaaaa acha majungu sasa....
Yan sipati picha utakavyokuwa unamwaga radhi
Lol
Afadhali umekija maana nilikuwa najiuliza bila wewe mambo yataendajeMAKUBWA!!!! Sherehe gani bila Chakula?? Mimi ni Mlezi wa Husny bado anaishi kwangu.... Mimi ndio Mpishi Mkuu wa hapa Mji wa Jamvi.... Sipo, Sina taarifa na mwategemea sherehe itaitika?? :A S 13:
Teh hebu mtafutie kabisa Preta wimbo mzuri wa kusasambua jukwaani maana ameshajitolea kwa hilo
Yan wale jamaa hawafai kabisa.....Ila sema nikiwatosa Nitty atakosa wajumbe wa kamati ya starehe....nitawasamehe tunishatoa sababu kwanini mimi siwezi kukosa kwanza husy ni mke mwenza na ni wifi yangu halafu hao kina bagah wamefanyaje teena?
Nshomile ni nshomile tuuu...... jasiri jaachi asili!!
tena angesaidiwa na MS ingependeza!!!haswaa! Hilo halina tabu.Angekuwa ff angetufaa kwenye u-mc
Kamati ndo tunazipanga hapa....Kuna kamat ya ulinzi na usalama ma mali za bi harus? Namaanisha kukaanae karibu zaidi ya bwana arusi, kama ipo naomben nipangwe mimi kama mgen kwan nauzoefu na shughuli hiyo.
Subiri utajionea mwenyewe hivi ni vitu vidogo sana kwetu
me ntatoa nguruwe watatu km mchango wangu
haswaa! Hilo halina tabu.Angekuwa ff angetufaa kwenye u-mc