Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Yan we badala ya kuchagua kitengo unaanza kuleta majungu yako tena!
Lol
Nakupangia kamati ya Majungu na Fitna na watani.....mumzuie ni harusi hadi mpewe Juice ya matango
kwani uongo?halafu eti amy kamati ya hela kama sio kufilisi shirika lol