@ Mamndenyi mahari walikula kongosho na Bishanga..
Naomba nikuteue wewe bwana Salok utusaidie kwa hii kamati ya mipango na Ratiba ya sherehe....Nimekuwa nikifuatilia kila mchakato kwa umakini na umakinifu but silently, nimegundua bado kamati ya b52 ina nguvu na support kubwa ingawa wamepata upinzani mkubwa toka kwa kina ss na bagah, ingawa hawapaswi kubezwa! Mwenyekiti naomba mwongozo wa sherehe yenyewe itakuwaje baada ya nini kutakuwa nini?
Kalakabaho!sio kila pua ni kwa ajili ya makasi tu,ndio maana hazifanani!!!
nina mashaka na uteuzi wako wa mshika fedha.....:hand:
Usijali 52,hilo nina uzoefu nalo,na Amy ni shost wangu so mambo yataenda vizuri tu!Ok poa nataka umsaidie Amyner....
Siunajua atakuwa anachoka sana??
Pole eric,najua Amy yuko araundi ataishuhulikia lol!Mh nawewe hayo ni mambo ya ndani..nini kupeana hamu mchanamchana?
Nilikua naongelea ya mme wangu,ambayo ina siri kubwa ambayo ni yangu peke yangu!!!haya mama tuambie yakwako inatoa nini,?