Nimepata taarifa kuwa kamati ya maadili ya ccm yenye wajumbe kama 11 hivi wakiwamo maraisi wastaafu inajumuisha pia lifisadi papa andrew chenge hivi huku si ni kuwachezea watz, chenge ana morality ipi ya kuwa kwenye kamati ya maadili naamini hafai hata kwa ngazi ya familia yake mwenyewe.