makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
Mkuu Ringo endelea kupiga round huwa awajibu na wakijibu ni shutuma au kauli nyepesi nyepesi......Wacha wajipimie mwenye size ya kamba.
Mpaka sasa ndivyo wanafanya kwa kuwa kulikuwa hakuna uwanja wa kuwakaba koo sasa upo. Watajibu tu au wawe mabubu yasiyo na madaraka milele