ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 642
- 554
Lkn hebu tuwe wakweli na tuache unafiki..! Kati yetu tunaopinga hiyo posho,tunapinga kwakuwa ni wazalendo au ni wivu na unafiki tu..!? Kuna ambae anaweza kukataa kweli km angeteuliwa yeye? Zzk,ndo mnafiki zaidi,hivi anavyopinga facebook inasaidia nini? Chadema wamekubaliana kutoka nje ya bunge km kamati itaridhia posho iongezwe. Tutauona hapo uzalendo wa zitto kma nae atatoka nje. Kweli nchi hii bila unafiki haiendi..!!