Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Lkn hebu tuwe wakweli na tuache unafiki..! Kati yetu tunaopinga hiyo posho,tunapinga kwakuwa ni wazalendo au ni wivu na unafiki tu..!? Kuna ambae anaweza kukataa kweli km angeteuliwa yeye? Zzk,ndo mnafiki zaidi,hivi anavyopinga facebook inasaidia nini? Chadema wamekubaliana kutoka nje ya bunge km kamati itaridhia posho iongezwe. Tutauona hapo uzalendo wa zitto kma nae atatoka nje. Kweli nchi hii bila unafiki haiendi..!!
 
Lkn hebu tuwe wakweli na tuache unafiki..! Kati yetu tunaopinga hiyo posho,tunapinga kwakuwa ni wazalendo au ni wivu na unafiki tu..!? Kuna ambae anaweza kukataa kweli km angeteuliwa yeye? Zzk,ndo mnafiki zaidi,hivi anavyopinga facebook inasaidia nini? Chadema wamekubaliana kutoka nje ya bunge km kamati itaridhia posho iongezwe. Tutauona hapo uzalendo wa zitto kma nae atatoka nje. Kweli nchi hii bila unafiki haiendi..!!
Wee utakuwa punguani wa akili sio bure. Unauliza swali kuhoji uzalendo wao iwapo watakataa nyongeza ya posho, hapohapo unamponda zitto ambaye hatachukua hata hiyo 300k. Sasa ndugu yangu hizi chuki kwa zitto mbona zinakuondoa fahamu? Zitto ulitaka afanyeje? Amepinga posho, hatochukua posho na amepost huko fb ili ww mwabanchi upate habari. Afanye nn tena?
 
Nishachoka sasa nami nitaanza kuiba vyuma vya reli, barabara na madaraja na chochote kilicho cha serikali mana dunia iko mwisho sasa kila mtu achukue anachoona kinamfaa. hakika si mbali tutakuja kuchinjana hapa tz

hata mimi nakuunga mkono,mi ntaiba uwanja wa ndege...
 
Wee utakuwa punguani wa akili sio bure. Unauliza swali kuhoji uzalendo wao iwapo watakataa nyongeza ya posho, hapohapo unamponda zitto ambaye hatachukua hata hiyo 300k. Sasa ndugu yangu hizi chuki kwa zitto mbona zinakuondoa fahamu? Zitto ulitaka afanyeje? Amepinga posho, hatochukua posho na amepost huko fb ili ww mwabanchi upate habari. Afanye nn tena?
Hebu niambie bila jaziba,utaratibu wa kupata hiyo posho ni kusaini mahudhurio,jambo ambalo hata zito anafanya. Kitendo cha kusaini mahudhurio,ni kukubali kupokea posho. Haya,tufanye amesaini halafu akaziacha,lkn serikalini zimetoka. Kwa akili yako hizo pesa zinaelekezwa wapi? Ukinipa hayo majibu ntarudi kwako kukupa maoni yangu. Kitendo cha wewe kuanza na matusi,umedhihirisha tu kwamba unafikiri kwa kutumia kiungo kingine..!!
 
Wee utakuwa punguani wa akili sio bure. Unauliza swali kuhoji uzalendo wao iwapo watakataa nyongeza ya posho, hapohapo unamponda zitto ambaye hatachukua hata hiyo 300k. Sasa ndugu yangu hizi chuki kwa zitto mbona zinakuondoa fahamu? Zitto ulitaka afanyeje? Amepinga posho, hatochukua posho na amepost huko fb ili ww mwabanchi upate habari. Afanye nn tena?

Ana hela nyingi sana alizoficha kwa andreas kule ujerumani
 
..sasa ni kweli naamini nimewahi sana kuzaliwa Tanzania japo ningezaliwa kuanzia 2090 maana hizi hasira sitanitanguliza..wanasiasa sasa wanatujua vizuri tulivyo wanatuchezea watakavyo, ni ukweli mchungu lakini ni kweli.
 
ntawamiza wafanyakaz woote waweke mgomo hasa walim wa shule za msing, sekondar, polisi, manesi na idara nyingne kwan wao hiyo lak 5 mpka afanye kaz angalau mwez na nusu au miwil ndo apate bt wazandiki ck moja anaingiza ck,daaaaaaaa hiii Nchi ngumu sana jamaniiii
 
kwani gharama kula na kulala ni shngapi? alafu wao na matumbo yao yale bado laki tatu haitoshi, hii ni wazi kwamba sio wazarendo!
 
Rais asikubali. waking'ang'ania, awapige chini, ateue watu wengine ambao wanaweza kulipwa hata laki moja kwa siku.
 



Zitto Z Kabwe
Bucerius Law School
·
Posho Bunge Maalumu la Katiba kuwa 500,000 kwa siku.


Habari zilizoandikwa na gazeti la mtanzania la Leo kwamba Kamati ya kufuatilia posho za wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000 kwa siku imethibitishwa ni kweli.

Natoa wito kwa Wananchi wote kushinikiza kwa Rais pendekezo hili asilikubali. Naunga mkono wazo la mjumbe wa Bunge Maalum ndg Julius S. Mtatiro la kuorodhesha majina ya wote wanaopinga nyongeza ya posho. Nitaweka sahihi kwenye petition yake hiyo mapema kesho asubuhi.


Wagombea uenyekiti nao wanaahidi kupandisha posho. Nawaonya wasithubutu kutoa ahadi hiyo kwani sio mamlaka yao. Mgombea mwenye sera ya posho hatapata kura yangu na nitashawishi wajumbe wengine wasimpe kura.


‪#‎NatakaKatibaSitakiPosho‬



 
Nishachoka sasa nami nitaanza kuiba vyuma vya reli, barabara na madaraja na chochote kilicho cha serikali mana dunia iko mwisho sasa kila mtu achukue anachoona kinamfaa. hakika si mbali tutakuja kuchinjana hapa tz
u have an ideal idea but feel sorry for ur nation. If u think they steal, dont react by stealing. Lets join power looking ways forward on this.
 
Banana republic, waacheni wajiongezee hizo POSHO hata wakitaka 5 Million per day. Kwani wanachi zinawahusu nini?sidhani kama wananhci wanakereka kihivyo na hizi posho, kwani wanayolipwa wabunge kwa miaka mi-5, cumulatively ni nyingi kuliko hizi laki 5 za msimu. kama wananchi wameweza kuvumilia miaka yote hiyo uchungu wa hizi utoke wapi?

Siku wakichoka haitahitajika petition, tamko, wala sahihi au ridhaa ya raisi wala mjomba wake na rahisi. Hadi siku hiyo ya wadanganyika kuchoka itakapofika, tuwaache wanasiasa wetu wafaidi jamani.hizi kelele zetu hazijawanyima usingizi.ni upepo kwao unaopita
 
Back
Top Bottom