Nzilo
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 180
- 58
Usiufurahishe umma... Nisaidie kutafsiri hili neno... maana ya Pro-active.... Na je, wakati wanapinga posho Bungeni hawakuwa wanatafuta sifa?Ni kwasababu wana hekima na hawakurupuki kutafuta sifa.
Usiufurahishe umma... Nisaidie kutafsiri hili neno... maana ya Pro-active.... Na je, wakati wanapinga posho Bungeni hawakuwa wanatafuta sifa?Ni kwasababu wana hekima na hawakurupuki kutafuta sifa.