Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Ni kwasababu wana hekima na hawakurupuki kutafuta sifa.
Usiufurahishe umma... Nisaidie kutafsiri hili neno... maana ya Pro-active.... Na je, wakati wanapinga posho Bungeni hawakuwa wanatafuta sifa?
 
Back
Top Bottom