figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Ile kamati ya ya Bunge inayoongozwa na Mh.Mrema amegoma kopokea taarifa ya mahesabu katika manispaa ya ilala baada ya kukuta kunaupungufu wa 18bl mwaka 2010/2011 na 3bl mwaka 2009/2010 ambazo hazina maelezo zimeenda wapi.wamewataka wafanye malekebisho na kuwasilisha tena baada ya mwezi mmoja.mia