Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kamati imesema bajeti haijakidhi viwango. Bajeti hiyo haijazingatia makubaliano ya Abudja yanayotaka bajeti ya afya kuwa angalau 15% ya bajeti ya serikali.
Pia bajeti haijaonyesha ongezeko kwenye maslahi ya watoa huduma hasa madaktari.
Wizara imetakiwa kuongeza fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawa.
Source: ITV
Pia bajeti haijaonyesha ongezeko kwenye maslahi ya watoa huduma hasa madaktari.
Wizara imetakiwa kuongeza fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawa.
Source: ITV