Jana Katibu wa bunge katangaza majina ya Kamati teule ya bunge kuchunguza uuzaji wa wanyama hai / usifisadi katika Wizara ya Maliasili na Utalii.
Ndanimo yupo Mbunge wa mafya ccm kama mwenyekiti pia mjumbe mmojawapo ni Mh. SALEHE PAMBA mbunge wa Pangani ccm.
Hofu yangu ni kuwa:
kumbukumbu zangu zanaonesha ndani ya kipindi cha JK kama rais, Mh. Salehe Pamba alishakuwa Katibu tawala wa mkoa, pia alikuwa KATIBU MKUU wizara ya Maliasili na Utalii enzi za Waziri Zakia Mengji, sasa kuwepokwake kwenye kamati ya kuchunguza ufisadi aloufanya yeye mwenyewe ndani ya wizara hiyo TUTARAJIE NINI? USANIIIIIIIIIIIII>>>>>>in ACTION!
Ndanimo yupo Mbunge wa mafya ccm kama mwenyekiti pia mjumbe mmojawapo ni Mh. SALEHE PAMBA mbunge wa Pangani ccm.
Hofu yangu ni kuwa:
kumbukumbu zangu zanaonesha ndani ya kipindi cha JK kama rais, Mh. Salehe Pamba alishakuwa Katibu tawala wa mkoa, pia alikuwa KATIBU MKUU wizara ya Maliasili na Utalii enzi za Waziri Zakia Mengji, sasa kuwepokwake kwenye kamati ya kuchunguza ufisadi aloufanya yeye mwenyewe ndani ya wizara hiyo TUTARAJIE NINI? USANIIIIIIIIIIIII>>>>>>in ACTION!