Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Thanks Regia, mimi naamini hakuna kamati kuu ya chama chochote iliyo makini kama ya CDM hivyo hata maamuzi yao hayana walakini. Kazi ni moja sasa.Mwl Joseph Mwandu Kashindye kuipeperusha bendera ya CHADEMA Igunga.Kamati Kuu imempitisha.Kila la heri Kamanda.