Msisahau kuwa kikubwa ni kulinda kura kama Nyamagana, Ilemela, Mbea Mjini na Arusha. maana magamba wameshagombana wao kwa wao kuwa ama kwa dola au kwa pesa lazima jimbo lirudi CCM, hawataki kusikia lugha za kina Bashe kuwa "nataka tushindwe Igunga tuheshimiane"
Na nyinyi msiifanye CHADEMA kama si chama kisichostahili kupitia misukosuko. Kuna kazi nzito Igunga mnaleta habari ya Shibuda. Mnadhani akiondoka Shibuda watakosekana wa aina hiyo. Kwa ninavyowajua CHADEMA suala la Shibuda sidhani linawaumiza kama chama.
Wao wachukue hansard kisha wamuite kwenye chama apate nafasi ya kufafanua lengo la anayoeleza bungeni na magazetini. Kesi ya Shibuda ni rahisi sana kwa sababu ina ushahidi mzuri wa maneno yake moja kwa moja.
Muhimu ni kujua nia yake ni nini hasa na ikibidi afanye hivo kimaandishi.
Dada Regia, mimi binafsi nina wasiwasi na common sense na reasoning capacity ya Magale Shibuda, inaonekana kasi yetu haiwezi ni bora apumzishwe hata kama ni kupoteza kiti cha ubunge na jimbo la maswa kwa ujumla.
Na nyinyi msiifanye CHADEMA kama si chama kisichostahili kupitia misukosuko. Kuna kazi nzito Igunga mnaleta habari ya Shibuda. Mnadhani akiondoka Shibuda watakosekana wa aina hiyo. Kwa ninavyowajua CHADEMA suala la Shibuda sidhani linawaumiza kama chama.
Wao wachukue hansard kisha wamuite kwenye chama apate nafasi ya kufafanua lengo la anayoeleza bungeni na magazetini. Kesi ya Shibuda ni rahisi sana kwa sababu ina ushahidi mzuri wa maneno yake moja kwa moja.
Muhimu ni kujua nia yake ni nini hasa na ikibidi afanye hivo kimaandishi.