BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
jitahidi msiwape nafasihawa kuvuruga uchaguziwe huna jipya wala la maana tofauti na kujaribu kuleta uchochezi ndani ya chama, hii habari yako mimi binafsi naitafsi kama upuuzi na upumbavu maana unaongelea mambo ya kusadikika ambayo hayana ushahidi wowote au naweza kuita unafanya uchochezi!
nadhani ungeweza kuongea mambo ya kujenga au kukosoa kwa kutupa kasoro na wasifu wa wagombea maana wote wana haki ya kugombea kama wana-cdm; hayo unayoongea hayana nafasi tena maana kila mtu na kila mwana chama pia ana haki ya kumpigia kampeni anayemwona anafaa kwa muono wake na kwa mtazamo wake.