urais ni taasisi. Kuna vyombo na mfumo wa kufikia maamuzi. Hivyo labda useme vyombo na mfumo ndiyo dhaifu na si jk maana yeye si dikteta anayefanya maamuzi pekee!
We labda hujui hiyo kamati kuu ya CCM.Usikute kuna mtu anataka kuoa.Wanajadili nini wakati mambo yote yako wazi?
Kinafanyika IKulu. Inaonekana leo ni vikao vya CC; CDM nao CC yao inakutana.
We labda hujui hiyo kamati kuu ya CCM.Usikute kuna mtu anataka kuoa.
Kuna uzi ulikuwepo unasema JK kakataa kuvunja balaza na anasema yeye yupo jikoniHivi nzi wa JF wamezeeka nn? Hawajanusa mpaka saa hii. Labda kwenye CC hamna Nyama oliyooza mpaka sasa.