CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Mie sitajwi tajwi wakuu!?
Maana kakibanda kangu ka Mikocheni kamenasa kitambo.
Maana kakibanda kangu ka Mikocheni kamenasa kitambo.
JK ni rais dhaifu sana....
urais ni taasisi. kuna vyombo na mfumo wa kufikia maamuzi. hivyo labda useme vyombo na mfumo ndiyo dhaifu na si JK maana yeye si dikteta anayefanya maamuzi pekee!
Mie sitajwi tajwi wakuu!?
Maana kakibanda kangu ka Mikocheni kamenasa kitambo.
CC ya ccm ina umuhimu gani kwa taifa?yaani watafanyiwa public vetting tukaona kwenye TV kama walivyofanya Kenya na USA au watapitishana behind closed doors?
........., kuna mabadiliko ambapo J.makamba, ..............
Haswaaa aende diamond akawaite wazee wanaolala na kuamshwa na makofisi akaongee tu na wazee wa DSM
ikulu inataka kuja na tamthilia ipi ??
Ndiyo ni kesho...na agenda kuu si swala la muungano bali ni baraza la mawazir, kuna mabadiliko ambapo J.makamba, H.kingwangala, C. tizeba,S. masele na wengine wamo katika baraza jipya la mawazir....kama atakuwa kasikiliza ushauri na kuufata basi ngereja katupwa nje maana mzee(jk) alikuwa mbishi kumwondoa ngereja
sijui Invisible anataarifa ngoja tusubiri..
si akaongee tu na wazee wa DSM
The long wait.
Hivi kuongea na wazee wa DSM kuna impact gani kwa taifa? Maana huwa nasikia tu na cjaona faida yake