Nadhani mwisho wa EL kisiasa unaelekea ukingoni na pia ameonyesha wazi kwamba hajui kusoma alama za nyakati. Kama angekuwa smart angejiuliza mara 100000000 kwanini wananchi walishangilia sana waliposikia kwamba jamaa kaamua kuachia ngazi? Furaha haikuwa kwa wapinzani tu bali pia hata kwa wana CCM wenzake, mawaziri na wabunge. Huo ni ushahidi tosha kwamba wananchi na baadhi ya watu serikalini walishamchoka, walikuwa wakisubiri kwa hamu ni lini ataachia ngazi.
Kidudumtu ni yeye mwenyewe, maana alishasahau ile kasheshe ya akina Laizer (Mbunge wa Longido) na Elisa Mollel (Mbunge wa Arumeru) jinsi alivyowaingiza kwenye mkenge wa PCCB kiasi cha kuhatarisha hata uanachama wao wa CCM na pia kupoteza opportunity ya kugombea uongozi kwenye chama. Leo hii yeye kupewa dose kamili analalamika kwamba kaonewa! Mkuki kwa nguruwe ....!
Mbona hayo maelezo hakuyatoa Bungeni ili kuweka sawa record kwenye hansard? Maelezo ya kwenye mikutano hiyo ya hadhara hayana nguvu wala kumbukumbu ya kudumu. Kumbukumbu nzuri ingekuwa Bungeni ili watu tumuone anavyochemka. Sasa kwenda kuongea huko Mto wa Mbu ambako watu hawana hata uwezo wa ku-digest hotuba yake ni kujitafutia umaarufu mbele ya wachovu!
Hivi Balile ni Mwandishi wa Habari ama ni Mhariri wa Gazeti la Mtanzania?
Kidudumtu ni yeye mwenyewe, maana alishasahau ile kasheshe ya akina Laizer (Mbunge wa Longido) na Elisa Mollel (Mbunge wa Arumeru) jinsi alivyowaingiza kwenye mkenge wa PCCB kiasi cha kuhatarisha hata uanachama wao wa CCM na pia kupoteza opportunity ya kugombea uongozi kwenye chama. Leo hii yeye kupewa dose kamili analalamika kwamba kaonewa! Mkuki kwa nguruwe ....!
Mbona hayo maelezo hakuyatoa Bungeni ili kuweka sawa record kwenye hansard? Maelezo ya kwenye mikutano hiyo ya hadhara hayana nguvu wala kumbukumbu ya kudumu. Kumbukumbu nzuri ingekuwa Bungeni ili watu tumuone anavyochemka. Sasa kwenda kuongea huko Mto wa Mbu ambako watu hawana hata uwezo wa ku-digest hotuba yake ni kujitafutia umaarufu mbele ya wachovu!
Hivi Balile ni Mwandishi wa Habari ama ni Mhariri wa Gazeti la Mtanzania?