Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Sidhani kama kamati kuu inaweza kuja na mkakati wa kumuonea kiongozi wa chini haya ni maamuzi sahihi.
Ninaendelea kupenda style ya leadership ya cdm, utamaduni wa utawala wanaojaribu kuuingiza ktk siasa za tanzania hajakuwepo hasa baada ya mwalimu nyerere.Siasa za tanzania siku zijazo zitafanana na za Ezirael AMBAKO WAZIRI MKUU AKIWEWESEKA ANAPIGWA CHINI ON SPOT. hakuna kulemba,
Hongereni CDM kama kweli mumeridhika na kuhujumiwa, ccm wameharibu sana nchi hii kwa siasa zao za FITNA matokeo yake hakuna utawala bora
Ninaendelea kupenda style ya leadership ya cdm, utamaduni wa utawala wanaojaribu kuuingiza ktk siasa za tanzania hajakuwepo hasa baada ya mwalimu nyerere.Siasa za tanzania siku zijazo zitafanana na za Ezirael AMBAKO WAZIRI MKUU AKIWEWESEKA ANAPIGWA CHINI ON SPOT. hakuna kulemba,
Hongereni CDM kama kweli mumeridhika na kuhujumiwa, ccm wameharibu sana nchi hii kwa siasa zao za FITNA matokeo yake hakuna utawala bora