Kamati kuu CHADEMA ndani ya Arumeru leo.

Status
Not open for further replies.

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kamati kuu ya CHADEMA inakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe na Katibu mkuu Dr Wilbroad Slaa kwa ajili ya kulijadili na kupitisha rasmi jina la mgombea Ubunge wa chama hicho jimbo la Arumeru Mashariki Bw Joshua Nasari.
Wajumbe wote hadi jana walikuwa wamewasili na kikao hicho kitafanyika Arumeru Mashariki ndani ya jimbo husika la Uchaguzi.
SOURCE:MWANANCHI
 
Kila la heri huku mkijua kuwa mnapambana na CCM iliyogawanyika vipande viwili.
 
Hilo jina ndilo lenyewe cdm sio magamba hawana haja ya kukaka dar wanakusanyika uwanjani kwenye tukio bigap cdm nawakubali sanaa magamba watakimbia watawaa cdm mapambanon simumeiona cuf?
 
THANKS! Kwa kuwa mna maono mapya, ambayo uongozi wa ccm bado wako usingizini!
Nahisi wataiga kama walivyo iga wazo la kutumia helcopter!
 
chadema forever!!!! Waarumeru tunaomba mtujulishe nini kinaendelea kuhusu kumpitisha mgombea wa chadema. All the best.
 
Kwani hapo walipo hakuna wazee wa kishili wakawatimua au mmechoka kuwazushia wazee hao kuwa hawaipendi cdm,
mda umefika kila mtu atoe mchango wake makini wa kujenga taifa letu lililokosa mwelekeo kwa miaka 50 iliyopita bila mafanikio.
Ukombozi uanzie arumeru east na huenda baadae segerea,monduli,bariadi na njombe maana bibi kiroboto atajitoa posho zisipoongezeka .
 
Kila la heri, tunawaombea mshikamano na umoja ktk maamuzi watakayofanya katika kikao chao.
 
Ni jambo zuri kufanya huu mkutano Arumeru. Lakini kuna kitu bado naona kama kina mushkili kidogo. Naona kama CHADEMA wanatumia mfumo unaofanana na CCM. Kwa sasa hivi unaweza kuwa sawa lakini huko mbeleni wanaweza kujikuta wana matatizo haya haya yanayowasumbua CCM. Kwa mfano, kKama DELEGATES wameshachagua mtu kwa nini CC ipitie tena? Kwa nini CC isipitie majina/wasifu kabla ya delegates hawajipiga kura? Itakuwaje kwa mfano CC inabatilisha chaguo la delegates? Si ndio mwanzo wa kujenga kambi? Hili ndilo tatizo la ccm. CHADEMA angalieni upya mfumo wenu.
 
Ni jambo zuri kufanya huu mkutano Arumeru. Lakini kuna kitu bado naona kama kina mushkili kidogo. Naona kama CHADEMA wanatumia mfumo unaofanana na CCM. Kwa sasa hivi unaweza kuwa sawa lakini huko mbeleni wanaweza kujikuta wana matatizo haya haya yanayowasumbua CCM. Kwa mfano, kKama DELEGATES wameshachagua mtu kwa nini CC ipitie tena? Kwa nini CC isipitie majina/wasifu kabla ya delegates hawajipiga kura? Itakuwaje kwa mfano CC inabatilisha chaguo la delegates? Si ndio mwanzo wa kujenga kambi? Hili ndilo tatizo la ccm. CHADEMA angalieni upya mfumo wenu.

Mkuu ukipata nafasi pitia katiba ya CDM utaelewa ni kwanini haya yote yanafanyika
 
2likua hapo leo 2kihakksha mshkamano thabt,mzizi dawa pia alitoa chachu yake kuhuxu jmbo la Monduli,hawana jpya wana ccm wakajpake poda xaxa...wao wakat umewadia
 
Ni jambo zuri kufanya huu mkutano Arumeru. Lakini kuna kitu bado naona kama kina mushkili kidogo. Naona kama CHADEMA wanatumia mfumo unaofanana na CCM. Kwa sasa hivi unaweza kuwa sawa lakini huko mbeleni wanaweza kujikuta wana matatizo haya haya yanayowasumbua CCM. Kwa mfano, kKama DELEGATES wameshachagua mtu kwa nini CC ipitie tena? Kwa nini CC isipitie majina/wasifu kabla ya delegates hawajipiga kura? Itakuwaje kwa mfano CC inabatilisha chaguo la delegates? Si ndio mwanzo wa kujenga kambi? Hili ndilo tatizo la ccm. CHADEMA angalieni upya mfumo wenu.
FJM point yako ni nzuri mchezo wote inabidi umalizwe na kura zinapopigwa tu na si vinginevyo lakini kwa upande wa chadema nafikiri hii CC yao ni kikao cha mikakati zaidi ya kuteua jina la mgombea kama wanavyofanya CCM. kwahiyo labda wangekiita kikao cha kuwekana sawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom