Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Rais Kikwete amewatahadharisha makada wa CCM kuachana na hatua za namna yoyote za kumpuuza au kumshambulia Rostam katika majukwaa ya siasa.
Mbali ya hilo, ili kuhakikisha jimbo hilo linaendelea kubakia mikononi mwa chama hicho, Kamati Kuu iliwazuia makada wake wawili, Nape na John Chiligati, kwenda katika kampeni za chama hicho za kusaka mrithi wa Rostam huko Igunga.
Source: Gazeti la Tanzania Daima la leo.
Niko na gazeti la Tanzania Daima Toleo Na. 2433 la leo Jumatano trh 3 Agosti 2011.
Kichwa cha Habari kuu: Mkapa abebeshwa mzigo wa Rostam
- [*=3]Aombwa kuzindua kampeni Igunga.[*=3]Nape, Sita, Kilango, Wabunge 100 nao wamo