Kamati kuu CCM yamtosa Hussein Bashe, adaiwa si raia wa Tanzania

nao watu wa huko tabora bwana nashukwa na butwaa na huwa siamini macho yangu kabisa ni kwa nini wanawapenda sana hawa waarabu...............waliisha sahau kuwa wao ndio walikuwa watumwa na hao mabwana akina ROSTAM,BASHE na wengine ni mazao yao na kwa kwewli kiasili sio raia...........wapeni wazawa watoto wenu waende bungeni wakawatetee......kwani nyie watu wa tabora na kwingineko hamuoni aibu kodi mnazolipa waende kuzila watu wa mataifa mengine???????wao wamekuja kufanya biashara for good haina tatizo waache sasa wakipata faida msikubali kurubuniwa na kununuliwa mkawapa kura........sisi hatuwataki kwenye serikali zetu wapeni nafasi watoto wenu wazawa wawawakilisheni na hao ndio wanaojua matatizo yenu......akina bashe waache waendelee kufanya biashara.............siamini
hawa si kama Wazanzibar na Mwarabu wanasahau hata kuishi hapo Zanzibar walitolewa Bara kupelekwa visiwani kama manamba na watumwa! Leo hii ati wao ni tofauti na sisi!
 
Election calculator: Bashe 14,000 votes............Seleli 2,700 votes...... and the winner is....................... guess what...................(seleli) usimwambie mtu kama hawajaona.
 
Ndio watakubali kwamba wamepigwa bao.
Hana njia nyingine ya kuingia mjengoni. Akiinua kichwa tu,kesho yuko kwao Somalia. Kama ni kweli kafanywa hivyo,naamini siasa ataachana nayo afanye mambo mengine.

Hata hivyo, ndio maisha yenyewe.
 
Huko Nzega inasemekana mtu wa tatu ndiye kachukuliwa na wala sio Selelii. Jina lake silikumbuki vizuri nafikiri ni yule daktari.
 
eti nasikia Aden Rage nae wanataka kumuondoa kisa ni Msomali. hakika yanipasa kuwaacha wafu wazikane wenyewe kwa wenyewe.
=======
Itabidi watose mkoa mzima wa Tabora maana majimbo yote kasoro mawili, walioshinda kura za maoni wana asili ya Somalia. Ni Samweli Sita na Said Nkumba. Waliobaki ni wasomali na Muirani mmoja.
 
utakalo jifunza kwa ccm ni kuwa fisadi tu,
ama kuwa tapeli, ccm ni miongoni mwa vyama,
vinavyoongozwa kimbu mbumbu sana na
ujanja ujanja tu, hivyo hakuna la kujifunza kwao
 
ILa kwa mbali kuna fununu kwamba huyu Bwana Bashe hana mahusiano mazuri na mtoto wa MH.Rais Ridhwani Kikwete hasa baada ya uchaguzi wa makamo mwenyekiti wa UVCCM Taifa ambapo bwana Bashe alishiriki na Swahiba wa Ridhwani Bwana Beno Malisa..!![/QUOTE]

Hili ndilo sababu kuu wala siyo nini wala nini! Ni kwa mara nyingine Ridhwan anaonyesha nguvu ya mkono wake kumwelekeza baba nini atende na akatenda, anaonyesha ambavyo matakwa yake yanaweza kupokelewa na baba na ama Makamba na kuwa ajenda inayotekelezeka. Hiki ndicho kinachomwokoa Seleli. Subirini mtaona mengi kwani hata Mungai amekuwa wa kwanza kupelekwa mahakamani kutokana fitina za salma kikwete wakati akiwa waziri wa elimu.

Nakubaliana na wewe kuwa huyu Ridhiwani anainfluence kubwa sana kwenye maamuzi ya baba yake a' la Udeh marehemu mtoto wa Saddam Hussein; lakini hili la kumsingizia mama Salma juu ya huyu Mungai nadhani ni uzushi usio na maana!! Jakaya na Mungai wanafahamiana sana kwani hata wakati wa kuusaka Urais mwaka 2005 Jakaya alikuwa anafikia nyumbani kwa Mungai pale Mafinga. Muacheni huyu Mungai asulubiwe kwa madhambi yake aliowafanyia wanaMufindi na waTanzania kwa ujumla wao!!
 
It is one of the ways of cutting RA to size!! Kinachonishangaza ni jinsi gani iliwezekana kumuengua Bashe kwa kigezo cha uraia wa Somalia wakati Msomali mwenzie Kinana akiwa katika kikao hicho; au pengine hakuwemo? Aden Rage je yeye sio Msomali?
 

Heshima kwako Njowepo,

Wapo watu wengi sana waliowahi kudanganya uraia wa Tanzania na kufaidi matunda ya uraia kama watanzania wengine.Juzi juzi nadhani maeneo ya Kibaha wamegunduliwa waalimu wawili wa kiganda waliokuwa na vyeti vya kuzaliwa na kadi za kupigia kura za Tanzania.System ya uraia Tanzania iko hovyo sana kiasi kwamba inakuwa ni rais mgeni kukaa Tanzania na kudai yeye ni raia.

Serekali ya Tanzania inatakiwa kumfukuza Bashe nchini kwa kosa la kuishi na kufanyakazi Tanzania bila kufuata taratibu na sheria za nchi.Kwakuwa Somalia sasa hivi hakukaliki Bwana bashe anatakiwa kupelekwa kwenye kambi za wakimbizi ili shirika la wakimbizi UNCHR limuhudumie kama linavyofanya kwa wakimbizi wengine.

Ushindi wa Bashe unatokana na mtandao wa wasomali [watekaji wa meli] waliozagaa Tanzania ambao wanamkakati wa kupachika watu wao kwenye nafasi za kisiasa ili kulinda maslahi yao.Tayari wasomali wamefanikiwa kufanya hivyo nchini kenya kiasi kwamba kundi la Al shabab kutokea Kenya limeweza kufanya ugaidi Uganda bila kipingamizi.Tayari wasomali wanamiliki vituo vingi vya mafuta na mahoteli nchini Tanzania kwa maneno mengine wamefanikiwa kukamata uchumi kilichobaki kwao ni madaraka.Baadhi ya watu bila kujua wanashangaa ushindi mkubwa wa Bashe dhidi ya mpiganaji Seleli lakini wanshindwa kujua nguvu ya fedha iliyotumika tena mbele ya TAKUKURU.Umoja wa wasomali kwa kutumia nguvu ya fedha wameweza kuwazuia UWT / TAKUKURU kufanya kazi yao,bila shaka Muungwana alipewa taarifa yote ndio maana kaamua kumwondoa Bashe.
Afadhali naona umenisaidia, nilikuwa najiuliza huyu mtu anayeongelewa, BASHE ni mtu wa dizaini gani?. Hizi shughuli zangu za uvuvi huku visiwani naona zinanikosesha mambo mengi~itabidi nizisimamishe mpaka baada ya uchaguzi!.
 
huyo Bashe kwa nini wasimrudishe kwao Somaria/ au ana hati ya ukimbizi. Naona ndio maana bongo imekuwa mlango wa wasomari HATUFAI kabisa. kwanza WASOMALI,WAHINDI, WAARABU,WAZUNGU(hawapo), NA WASIO WATZ Original hawatufai, sijui watu wa nchi hii hufikiria nii kuwa nafasi.
 
Nakuunga mkono 100%, Sijui akili zao hazina akili, hawaoni kule Mbeya Kina Mwa...

nao watu wa huko tabora bwana nashukwa na butwaa na huwa siamini macho yangu kabisa ni kwa nini wanawapenda sana hawa waarabu...............waliisha sahau kuwa wao ndio walikuwa watumwa na hao mabwana akina ROSTAM,BASHE na wengine ni mazao yao na kwa kwewli kiasili sio raia...........wapeni wazawa watoto wenu waende bungeni wakawatetee......kwani nyie watu wa tabora na kwingineko hamuoni aibu kodi mnazolipa waende kuzila watu wa mataifa mengine???????wao wamekuja kufanya biashara for good haina tatizo waache sasa wakipata faida msikubali kurubuniwa na kununuliwa mkawapa kura........sisi hatuwataki kwenye serikali zetu wapeni nafasi watoto wenu wazawa wawawakilisheni na hao ndio wanaojua matatizo yenu......akina bashe waache waendelee kufanya biashara.............siamini
 
Mimi naona mgombea atakaye nufaika na zengwe hili ni Dr. Kigwangalla na si Selelii kama mtoa hoja alivyosema, sehemu kubwa ya wapiga kura wa Nzega wanataka sura mpya na sidhani kwamba CCM wanaweza kupuuza hizo sauti. Binafsi naamini Dr Kigwangalla atakuwa mbunge mzuri (provided he is not poisoned by stupid politics in CCM where the party comes first).
Mkuu kuna thread moja ilianzishwa wakati wa kampeni, naitafuta siioni.... nilipinga sana hoja ya hamisi kuwa mgombea against selelii, nilijua asingepeta kwa namna yoyote ile unless kuna zengwe; alas, sikukumbuka kwamba technical know who applies!!!! so hiyo intoxication ya politics za CCM sahau

Ila kwa moyo safu nampongeza kwani yeye ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano... but his task ahead is even worse kutokana na sentiments za wenye mrengo wa kati
 
mtu asiye raia na mzalendo hana machungu na nchi....nakumbuka jinsi ADEN RAGE alivyosababisha TANZANIA kuzuiwa na FIFA mpaka ilpomrudisha madarakani....WAMBURA akataka fanya hivyo wenye busara wakamuonya kuwa usipeleke suala lako mahakamani tusije fungiwa akatiii nasema hivi nikiwa mnazi wa SIMBA SC......CHADEMA wamemchukuwa ARCADO NTAGAZWA ambaye si raia wa TANZANIA.......uthibitisho ni kuwa alikuwa na ndugu zako MAKAMBINI (UNHCR).......wajiandae na THE SAME WHIP!
 
naona hii sredi inaelekea ndiko siko... Yaani leo ndio tunamtupa Bashe??? na zile fitna zote ndani ya nchi ndio tunakumbuka si mwenzetu? watu waliwahi hoji mzee wetu wa heshima kinana, hivi naye mamake aliukana usomali??

Guys, hii dhambi na ile ya udini vitaharibu uchaguzi wa mwaka huu
 
nao watu wa huko tabora bwana nashukwa na butwaa na huwa siamini macho yangu kabisa ni kwa nini wanawapenda sana hawa waarabu...............waliisha sahau kuwa wao ndio walikuwa watumwa na hao mabwana akina ROSTAM,BASHE na wengine ni mazao yao na kwa kwewli kiasili sio raia...........wapeni wazawa watoto wenu waende bungeni wakawatetee......kwani nyie watu wa tabora na kwingineko hamuoni aibu kodi mnazolipa waende kuzila watu wa mataifa mengine???????wao wamekuja kufanya biashara for good haina tatizo waache sasa wakipata faida msikubali kurubuniwa na kununuliwa mkawapa kura........sisi hatuwataki kwenye serikali zetu wapeni nafasi watoto wenu wazawa wawawakilisheni na hao ndio wanaojua matatizo yenu......akina bashe waache waendelee kufanya biashara.............siamini

Hebu wacheni chuki za kijinga nyinyi, leo hii munapokea misaada kutoka kwa Wajerumani na Waingereza waliowatawala hapo kabla na kuwachapa viboko pale mababu zenu walipokataa kufanya kazi.

Na kwa nini munamuhukumu mtu kwa kosa alilofanya babu wa babu yake (bila ya uhakika) miaka zaidi ya mia moja nyuma?

Chuki hizi hazitaleta maendeleo yo yote bali kuturudisha nyuma kimawazo. Mtu ahukumiwe kwa vitendo alivyofanya yeye na siyo jamaa yake wa miaka mia moja nyuma.
 
Hii nchi inapotea
kweli kabisa mkuu... kibaya zaidi, ni ile dhambi ya ukabila inaanza kunyevua... kuna siku tutafukuza wambulu wote nchini warudi kwani ukushi wakafufue mama zao waje waukane uraia, kisha tutamfukuza richard madala, tunapekenyua mafaili ya wangoni wote, wanyambo na wahangaza halafu tutaigawa hii nchi vipande, kwisha!!!
 
Back
Top Bottom