kamasutra

SUPERUSER

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
960
304
mpango mzima...jamaa wanamshagaa aliekua anawapiga chabo
 

Attachments

  • 423613_3107697505764_1664101805_2568989_1085192401_n.jpg
    423613_3107697505764_1664101805_2568989_1085192401_n.jpg
    16.9 KB · Views: 271
Nasikia eti ukiwaona hawa wanyama wanafanya tendo hili waweza patwa na mkosi wa ajabu. Binafsi siamini labda kwa aliyena uhakika atujuze!!
 
nasikia eti ukiwaona hawa wanyama wanafanya tendo hili waweza patwa na mkosi wa ajabu. Binafsi siamini labda kwa aliyena uhakika atujuze!!

mimi nimefuga hao tangu nikiwa darasa la sita na nimewashuhudia tangu kipindi hicho hakuna mkosi wowote, na hiyo pichani siyo staili yao.
 
Nasikia eti ukiwaona hawa wanyama wanafanya tendo hili waweza patwa na mkosi wa ajabu. Binafsi siamini labda kwa aliyena uhakika atujuze!!

unajua enzi zetu paka alikuwa akitumika kumaanisha mzazi that's why wakasema ukiwaona wakifanya tendo utapata mkosi hii ni sawa na kusema ukiwakuta baba yako na mama yako wanafanya kile kitendo utapata mkosi. na pia ilikuwa ni njia ya kuwafanya watoto wasiwe wanaingia vyumbani mwa wazazi wao au kuwachungulia. Paka mimi nilishawaona wakifanya tendo aisee ni kama motor vile ati
 
Back
Top Bottom