nasikia eti ukiwaona hawa wanyama wanafanya tendo hili waweza patwa na mkosi wa ajabu. Binafsi siamini labda kwa aliyena uhakika atujuze!!
mimi nimefuga hao tangu nikiwa darasa la sita na nimewashuhudia tangu kipindi hicho hakuna mkosi wowote, na hiyo pichani siyo staili yao.
Nasikia eti ukiwaona hawa wanyama wanafanya tendo hili waweza patwa na mkosi wa ajabu. Binafsi siamini labda kwa aliyena uhakika atujuze!!
inamaana wanafanya ka watu wakuu????
mi ndo nashangaa..