tonge nyama
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 380
- 498
Wadau nimesoma mtandao mmoja (global Publishers) ambapo nimeona wamemtaja Kamanda Suleyman Kova kuwa ni "alhaj", sasa swali langu ni kwamba je ni kweli alhaj au ndio mambo ya magazeti ya udaku? Mwenye taarifa kamili naomba azimwage.