SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
kuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
Huoni aibu kuzungumza bila kufikiria katikati ya wanaofikiri?kuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
[B said:SolarPower[/B];1973614]kuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
Anaota huyuUmetoka usingizini?
kuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
sio kosa lako ukikua anaweza kuwa na hoja zenya akilikuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
Huoni aibu kuzungumza bila kufikiria katikati ya wanaofikiri?
kuanzia kesho tarehe -- 16.05.2011-- nauli ya daladala nchi nzima iwe shilingi elfu tano (5,000) tu kwa kila abiria bila kujali kuwa ni mtu mzima au mwanafunzi.
mods futeni hii au ipelekwe jukwaa la jokes
tumekupata great sinker. Ur sinking rapidly
solar power una mtoto wewe au ndiyo unajifunza kuchakachua? Laiti ungelikuwa na mtoto anayesoma hata vidudu usesema hoja kama hiyo japokuwa ume mnukuu makanda kova.
mi nasemag JF IMEVAMIWA NA WATOTO WADOGO WA MLIMANI N SHIDA TUPU..MBONA ENZI ZETU AKILI ZILIKUWA ZIMETULIA AMA WAMEFANYWA SUPRISE KUWA KULE SHIDA TUPU DAWA YA HAWA NI KULIPA TU WAWE.........NA ADABU...................
ole wenu yakitokea