Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Kamanda Mwema Polisi na viongozi husika kwa karne hii ya sayasni na teknolojia Polisi jamii sio kuhishia kutoa number za ma RPC tu.
Mfano .Kwa kutumia ICT wenzetu wanafanya hivi Man charged with hacking offences - Metropolitan Police Service.
Nimekutana na hiyo habari wakati nafutilia habari za huy kijana a aliyekuw anasumbua tovuti za FBI. lakini unaona Jeshi la polisi la huko Uk sio tu wana tovuti bali pia wana wako kwenye Youtube, twiitter , flickr. Je hamuwezi kuiga hivi. Au hakuna watu wa mawasiliano wa kutosha
Ingawa kazi yenu ni nzito na bajeti ni finyu Polisi jamii iwe kwa vitendo. Tumieni fursa za ICT kufikia na kuwa karibu na jamiii.
Nawasilisha
- Tunataka tupate umber za wakuu wa vituo tulivyo karibu navyo. Siwezi kumpigia RPC kwa kero za bar inayochelewa kufungwa na muziki mkubw huku uswazi.
- Tunataka tujue polisi na vituo viinafanya nini inapokea kero ngapi?
Mfano .Kwa kutumia ICT wenzetu wanafanya hivi Man charged with hacking offences - Metropolitan Police Service.
Nimekutana na hiyo habari wakati nafutilia habari za huy kijana a aliyekuw anasumbua tovuti za FBI. lakini unaona Jeshi la polisi la huko Uk sio tu wana tovuti bali pia wana wako kwenye Youtube, twiitter , flickr. Je hamuwezi kuiga hivi. Au hakuna watu wa mawasiliano wa kutosha
Ingawa kazi yenu ni nzito na bajeti ni finyu Polisi jamii iwe kwa vitendo. Tumieni fursa za ICT kufikia na kuwa karibu na jamiii.
Nawasilisha