Kuna kijana mmoja mfanyabiashara hapa Lindi mjini anaitwa OLIVER.
Ameachana na mkewe na mkewe amefungua kesi ya madai ambapo inabidi amlipe mkewe sh.10,000,000/= kwa vile mali walichuma pamoja. Siku ya sikukuu ya iDD EL FITR huyu kijana alienda nyumbani kwa mtalaka mwenzie na gari lake kumuomba waende kwenye sherehe pamoja mwanamke huyu alikubali.
Kilichotokea ni kwamba akiwa ndani ya gari Oliver alimpiga sana kwa nia ya kutaka kumuua, aliopoona amepoteza fahamu alimtupa polini maeneo ya mmongo barabara ya DSM.
kwa bahati mzuri yule dada alizinduka alfajiri baada ya kupigwa na upepo wa asubuhi akajivuta barabarani na dereva mmoja wa bodaboda akamuona na kumpeleka nyumbani. ndugu yake wakamchukua kupeleka polisi. Baada ya kutoa maelezo polisi OCD akamwambia ndugu wa yule dada akamkamate huyo kijana amlete polisi.
Ndugu wa dada alikasilika sana akaenda kuwasiliana na RPC. RPC alimuuliza OCD kuhusu kuwepo kwa tukio hilo na akatoa amri amkamate huyo kijana. Kwa sasa kijana kakimbia ameenda DSM.
Ameachana na mkewe na mkewe amefungua kesi ya madai ambapo inabidi amlipe mkewe sh.10,000,000/= kwa vile mali walichuma pamoja. Siku ya sikukuu ya iDD EL FITR huyu kijana alienda nyumbani kwa mtalaka mwenzie na gari lake kumuomba waende kwenye sherehe pamoja mwanamke huyu alikubali.
Kilichotokea ni kwamba akiwa ndani ya gari Oliver alimpiga sana kwa nia ya kutaka kumuua, aliopoona amepoteza fahamu alimtupa polini maeneo ya mmongo barabara ya DSM.
kwa bahati mzuri yule dada alizinduka alfajiri baada ya kupigwa na upepo wa asubuhi akajivuta barabarani na dereva mmoja wa bodaboda akamuona na kumpeleka nyumbani. ndugu yake wakamchukua kupeleka polisi. Baada ya kutoa maelezo polisi OCD akamwambia ndugu wa yule dada akamkamate huyo kijana amlete polisi.
Ndugu wa dada alikasilika sana akaenda kuwasiliana na RPC. RPC alimuuliza OCD kuhusu kuwepo kwa tukio hilo na akatoa amri amkamate huyo kijana. Kwa sasa kijana kakimbia ameenda DSM.