OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakuu , heshima kwenu. Zikiwa zimebakia takribani siku 9 kuelekea kwenye uchaguzi wa madiwani kata 29 nchi nzima, upepo siyo mzuri upande wa ccm. Leo hii ccm wamemnyang'anya kadi ya uanachama mwenyekiti kitongoji cha Chisewo kata ya Msalato, Dodoma ndugu Charles Hoya baada ya kumkuta aki ipigia kampeini cdm pamoja na Kamanda Mawazo jana. Barua ya kumfukuza uanachama amekabidhiwa leo na yeye ameikabidhi leo hii kwa Kamanda Mawazo ikiwa ni pamoja na kujiunga rasmi kwenye jeshi la ukombozi. Huu ni mwanzo tu but time will tell. Naomba kuwasilisha.