Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
usishangae polisi wakalianzisha tena
Polisi wameshaambiwa wakae pembeni. wakithubutu kuingilia watakiona kitakachotokea siku mwanamfalme wa mashoga atakapotua nchini Arusha.
usishangae polisi wakalianzisha tena
- Mkuu wangu Lunyungu ni text namba yako ya sasa kwenye + 1 914-473-1033 nitakutwangia baack maana nimepita tu hapa kidogo baada ya Nape kuniambia asubuhi hii kuhusu hiii topic na nyingine kule, otherwise nimezidiwa sana na shughuli siku hizi muda ni mdogo sana, nitumie text ya namba yako nitakupigia, sasa hivi naelekea Boston nipo safarini!
Much Respect Bro!
Le Mutuz Baharia Willy @ NYC, USA.
- Mkuu wangu Lunyungu ni text namba yako ya sasa kwenye + 1 914-473-1033 nitakutwangia baack maana nimepita tu hapa kidogo baada ya Nape kuniambia asubuhi hii kuhusu hiii topic na nyingine kule, otherwise nimezidiwa sana na shughuli siku hizi muda ni mdogo sana, nitumie text ya namba yako nitakupigia, sasa hivi naelekea Boston nipo safarini!
Malcela tangu lini wewe na ukweli mnaishi nyumba moja, unafiki ulianzia kule aliko baba yako aliponyanyapaliwa na chama kwa kuutaka uraisi kwa kubadili dini halafu akanyamaza na asijikune hata pua. Mgogo yule anaendekeza njaa na ni rafiki wa njaa angewezaji kuongoza nchi. Muulize Mkapa na JK walivyomfanya bado wewe utokeze pua tutakunyanyua kwa greda
Utakuwa umeambiwa na Nape si ndiyo we ulikuwa mwenyeji wake na jana tu ulimpeleka JFK?
- Mkuu wangu Lunyungu ni text namba yako ya sasa kwenye + 1 914-473-1033 nitakutwangia baack maana nimepita tu hapa kidogo baada ya Nape kuniambia asubuhi hii kuhusu hiii topic na nyingine kule, otherwise nimezidiwa sana na shughuli siku hizi muda ni mdogo sana, nitumie text ya namba yako nitakupigia, sasa hivi naelekea Boston nipo safarini!
Much Respect Bro!
Mkutano wetu upo pale pale na maandalizi yote yamekamilika,kimsingi kesho hapatatosha NMC
Asante mkuu kwa taarifa yako, nasikia kamanda wa kikosi Mbowe amewaonya polisi wasijaribu kutoa pua yao hopefully hawatafanya hivyo kwa kuwa na wenyewe si wajinga kiasi hicho.Mkutano wetu upo pale pale na maandalizi yote yamekamilika,kimsingi kesho hapatatosha NMC
Source za data zako ni wapi ili nasi tu criticize its reliability!?
- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Sasa wakisema umeambiwa na NAPE unabisha, Watu wengine wabishi sana.- Mkuu wangu Lunyungu ni text namba yako ya sasa kwenye + 1 914-473-1033 nitakutwangia baack maana nimepita tu hapa kidogo baada ya Nape kuniambia asubuhi hii kuhusu hiii topic na nyingine kule, otherwise nimezidiwa sana na shughuli siku hizi muda ni mdogo sana, nitumie text ya namba yako nitakupigia, sasa hivi naelekea Boston nipo safarini!
Much Respect Bro!
Le Mutuz Baharia Willy @ NYC, USA.