nyie ndiyo mtatafutwa sana nchi hii ikiwa under nguvu ya umma maana mmeifirisi sana hii nchi mtakuwa kama watoto wa Mubbarak wa Egypt.- Mkuu Lema hatakiwi na Chadema tena na anajaua ndio maana kakatalia kutoka jela, naomba nimabie kama ni uongo hayo ya Malecela hayahusu hapa, ninasema Lema hatakiwi na Chadema, ndio maana alikataa kutoka jela, lets talk on that kama una ya Malecela yafungulie thread yake hii si inasema Lema au? ha! ha! ha!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!