Angalia usifukuzwe kazi mkuu kwa ajili ya haya mambo ya siasa,.,,,Ngoja nianze kutengeneza mazingira ya kutokwenda kazini ili nishiriki.....Nanyaro nasikia wana kutafuta na wewe
Najisikia kutukanwa.kamanda wa what?!
ni ama huijui Arusha au unawashwa kutukanwa!
- Yaaaani JF imefikia hivi? ha! ha! ha! sasa wakuuu naomba kuondoka kwaherini I mean this is way too high!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
- Mkuu wangu Lunyungu ni text namba yako ya sasa kwenye + 1 914-473-1033 nitakutwangia baack maana nimepita tu hapa kidogo baada ya Nape kuniambia asubuhi hii kuhusu hiii topic na nyingine kule, otherwise nimezidiwa sana na shughuli siku hizi muda ni mdogo sana, nitumie text ya namba yako nitakupigia, sasa hivi naelekea Boston nipo safarini!
Much Respect Bro!
Le Mutuz Baharia Willy @ NYC, USA.
Mkuu acha uongo mchana kweupe! Lema anazidi kupendwa wewe unasema anataka kutoswa!- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Kweli sasa nimeanza kuamini kuna watu wanaota ndoto za mchana!Habari za CHADEMA kumtosa Lema,hazina ukweli wowote ni uzushi usiokuwa na msingi.
mkuu ww uko USA unakula bata.......hyajui watoto wa wanyonge tunayofanyiwa.....nyie si ndo mnaosaidiana na Nape kuweka matawi ya sisiem kwenye car wash..halafu ww si ndo mtoto wa kigogo flani???????? sa utachangia nn kwa hilo??????- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Hajui aliongealo msamehe.william malechela
hivi unajua bei ya kibobo cha mkaa hapa nyumbani na dollar against TZS?
au umeshaanza kurithi lile jimbo la same ma*****
william malechela
hivi unajua bei ya kibobo cha mkaa hapa nyumbani na dollar against TZS?
au umeshaanza kurithi lile jimbo la same ma*****