Ngoja nianze kutengeneza mazingira ya kutokwenda kazini ili nishiriki.....Nanyaro nasikia wana kutafuta na wewe
Wakimgusa Nanyaro watafahamu vita ya Wameru! Halitasalia jiwe juu ya jiwe. Taadhari kabla!
Ngoja nianze kutengeneza mazingira ya kutokwenda kazini ili nishiriki.....Nanyaro nasikia wana kutafuta na wewe
- Mkuu ulizia vizuri kwa nini Lema alikataa kutoka jela, utajua sio kabisa mnayodanganyana hapa! ha! ha! JF hamna baba hapa unasimama mwenyewe kujibu hoja! ha! ha! ha! Siasa za baba hamna hapa ni taifa mbele na kwanza!
Le Mutuz Baharia! Willy @ NYC, USA.
Mkuu umefikiri kama yaliyokuwa kichwani kwangu!! Huyu jamaa hajaropoka tu,iwe kweli au uongo there is motive behind it!! Lakini pia William amebadilika kama ukimsoma kwa umakini! Haya si maandishi "yake" tusipuuze kama ccm wanavyopuuza mambo na kuja kuwa cost.William hajaongea haya kwa bahati mbaya! Rudia kumsoma neno kwa neno! Kuna kitu nyuma ya haya!! Kama Nanyaro amesoma haya na haja respond haraka maana yake amekwepa kukurupuka pia.read the motion mkuu!!Kuna mtu anaweza kukanusha habari ya William Malecela kwa kutupa maelezo ya kina? Kabla ya kumshambulia William tujiulize hizi habari katoa wapi? na nini hasa kinaendelea Arusha? Usikute ccm baada ya kuwahadaa wale madiwani bado wanaendelea kutafuta namna ya kuvuruga CHADEMA Arusha? It will cost CHADEMA anything kuangalia hii habari ya William kwa mawani!
- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
- Sikumpeleka Nape anywhere kwanza yeye yupo Ohio sasa hivi, niliyoyasema na mnayoyasema ni tofauti kabisaa ndio kama kawa kubadilisha habari na kutkana matusi tu, hakuna mahali nimesema nimempeleka Nape JFK na wala na hata hiyo picha hapo juu haina anything to do na JFK ilikuwa mahali pengine kabisaa ila kwa sababu ya kulazimisha habari kwa nguvu imeungwa ungwa ilei habari ili iwe kama mtoa mada anavyotaka na wengi wanavyotaka hapa, inasikitisha sana!
Le Mutuz Baharia! Willy @ NYC, USA
We f.ala umerudi?- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
- Duh! Lema hayupo tena imekuwa Jumanne! ha! ha! ha! ha!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz!
tuambie ni kipi cha ki-intelijensia ambacho huyu f.ala wa New york ameshawahi kukileta hapa.Mkuu umefikiri kama yaliyokuwa kichwani kwangu!! Huyu jamaa hajaropoka tu,iwe kweli au uongo there is motive behind it!! Lakini pia William amebadilika kama ukimsoma kwa umakini! Haya si maandishi "yake" tusipuuze kama ccm wanavyopuuza mambo na kuja kuwa cost.William hajaongea haya kwa bahati mbaya! Rudia kumsoma neno kwa neno! Kuna kitu nyuma ya haya!! Kama Nanyaro amesoma haya na haja respond haraka maana yake amekwepa kukurupuka pia.read the motion mkuu!!
Welcome back kamanda.- Siasa bwana unafikiwa hali ya juu sana, I mean the dataz zinasema Chadema wanataka kumtosa Lema ndio maana kakatalia jela kujijenga na wananchi incase atagombea kwa chama kingine, na hapa tunaambiwa maneno tofauti na ukweli on the ground zero, duh! hizi siasa ndio maana taifa letu itachukua muda mrefu sana kuendelea maana huu unafiki umekithiri sana!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!