Kamanda Lema kuanza Dar!!

eumb

Senior Member
Apr 2, 2012
149
70
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
 
Ajē na dodoma ānze na wanavyuo maana kuna wanavyuo utadhania hawajaelimika
 
Maoni yangu, Lema awe katibu muenezi apambane na Nape majimboni na Dr. Slaa aje agombee Arusha

Lema aongoze maandamano na mapambano yote because Mnyika yupo busy
 
Msijali wakuu, ratiba itawekwa wazi.
Kamanda Lema atakuwa kwenye mfungo kwa muda wa wiki moja kuanzia J4
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
 
Karibu sana kamanda, usisahau moro huku kwani huyu gamba abood kashajisahau sana alafu pia na kule kwetu Tabora uje tumtoe al shababy Rage´
bravo kamanda lema.
 
Lema? Lema? Lema huyu si mchaga huyu? huku Dar hatuwafagilii wachaga ni wabaguzi hawa hawafai kupewa nchi
 
Lema lema lema lema lema lema lemal lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema lema...............................................................................x1oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo................................................
 
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!

Hayo mambo wanayaweza cuf tu sio nyie wafanya siasa za mtandaoni jf
 
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!

Hivi ameacha mchezo waliomfundisha kule mahabusu au?maana nasikia ukishaanza ile huachi,mlio karibu nae hebu mchungezeni kimya kimya nyendo zake then mtumwagie info hapa kama kawaida yetu jf tuwe wa kwanza kujua
 
Lema? Lema? Lema huyu si mchaga huyu? huku Dar hatuwafagilii wachaga ni wabaguzi hawa hawafai kupewa nchi

timid of minds,huku mwanza ndio wanao run rock city na wenyeji wanawakubali sana kwani wana uthubutu na ni creativity wazuri sana.usibishane na ukweli,utakua unajipotezea nafasi ya kuongeza siku za kuishi duniani na afya vilevile.piga hesabu wafanya biashara wakubwa kariakoo ni kabila gani,majumba ya mbezi na masaki,maisha bora kwa ujumla then calculate alafu usitupe jibu.
 
Back
Top Bottom