Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,885
- 6,885
Nimeshuhudia TBS wakitangaza matokeo ya Ubunge Kule Arusha, Kamanda Lema amesimamia kuhesabu kura na kutotoa mwacya hata hatua mbili hadi anatangaza matokeo akifuatisha msitari kwamsitari pembeni yake. Hadi Kieleweke.
Hapa Dar naona watu kila mmoja na magazeti huku wakiwa vikundi vikundi Asubuhi hii kabla ya Kuingia kazini. Ukichukulia matokeo ya Uchaguzi Arumeru, Mbeya na Mwanza, matokeo kukatwa mapanga wabunge wa Chadema huko Mwanza nawaona watu hapa Dar wenye dalili ya kuchanganyikiwa, wenye nyuso za matumaini, na wale wa bora liende.
Hapa Dar naona watu kila mmoja na magazeti huku wakiwa vikundi vikundi Asubuhi hii kabla ya Kuingia kazini. Ukichukulia matokeo ya Uchaguzi Arumeru, Mbeya na Mwanza, matokeo kukatwa mapanga wabunge wa Chadema huko Mwanza nawaona watu hapa Dar wenye dalili ya kuchanganyikiwa, wenye nyuso za matumaini, na wale wa bora liende.