haukulazimishwa kuchangia ilikuwa ni hiari yako sasa hayo yote yametoka wapi?wewe unadhania hicho ni chama cha ushirika hadi usomewe mapato na matumizi au SACCOS?Nafikiri we ni GAMBA MVAA GWANDA HAWEZI KUULIZA HUO UPUUZI kwani kuna mambo mengi ambayo yanahitaji hela kukiendesha na kukiimarisha chama.Je unajua bei ya lita moja ya diesel au petrol?sasa unadhania uhamasishaji wa chama maeneo mbalimbali ya NCHI watu wanaendaga kwa miguu,wanakula mawe au wanalala juu ya miti?
Mnapingana na chadema au mnapingana na wachaga? Miaka yote wachaga wamepigwa vita wasiendeshe hii nji na kuwapunguza makali kwa maneno mengi kuwa ni wezi nk....lakini kwa ushujaa walio nao wameweza kuwa muhimili wa uchumi wa nchi na kabila lenye maendeleo katika nyanja zote ikiwemo kiuchumi, kielimu, huduma zote muhimu kama afya, usafiri, usafi wa mazingira, umeme,maji nk. Nina imani kama mchaga atapewa hii nchi na akapanga safu ya wachaga kuongoza basi baada ya miaka mitano kiuchumi tunaweza kuwa kama china, kiafya kama india, viwanda kama japan na miji yetu ikawa na maendeleo kama paris. Ipo mifano kidogo ya wachaga waliothubutu wakiwemo mrema, mtei...kimei ameipaisha crdb from grass root to a giant bank, mengi hakuna asiyejua mchango wake katika jamii, ananilea nkya karudisha heshima ya kina mama wengi,na wengine kibao. Sijui ni kwa nini watanzania wanashindwa kufungua macho kwa kuona uchapa kazi wa wachaga. Chukua mfano mji wowote ambao hauna wachaga then angalia maendeleo yake...wachaga wanaleta changamoto kila sehemu kwa hiyo mbinu ya kuwafanya wasitawale ni mahsusi kwa sababu wanaofiwa wakitawala watawafungua watanzania macho na hawataweza kunyonywa tena. Ikumbukwe kuwa sera ya kufungua mipaka na kuingia katika soko huria ilitetewa na mtei ambaye ni muanzilishi wa chadema muda mrefu enzi hizo akiwa gavana lakini mwalimu akamkatalia. Matokeo yake ni nini? Leo hii sisi ndio waumini wakubwa wa mambo yaleyale...watanzania tuamke tuwape wachaga nchi. Mimi si mchaga lakini nimekaa na wachaga ninawajua ni watu ambao wanapenda sana maendeleo, hawana ubinafsi, hawajivuni, wana upendo, ni wacha mungu nk. Hizo sifa nyingine kama wizi ni gender sterio type ila kwa sababu hawa jamaa ni very firm huwa hawakati tamaa wala kubisha nyie mnaongea wao wanafanya maendeleo hilo halina ubishi na anayebisha ajitokeze. T2015 cdm...aka chaga daima huwaza maendeleo
Mkuu, Kilewo
Hii kitu inafanyika wapi ndani ya Dar? I mean nikitaka kuja sehemu ya tukio ili nije kujumuika kwa kumwaga mchango wangu
inawezekana? kama jibu ni ndiyo, Je unaweza kutuelekeza ni wapi na utaratibu wake ukoje?
Ok thanks....all the best!Tulikuwa tunaalika watu kwa kadi, mpaka sasa kadi zimekwisha isha, kwa wale watakao kosa nafasi za kuja wachangie kwa njia ya mpesa kupitia namba 111333 inauwezo wa kupokea kiwango kibwa chochote cha fedha karibuni sana.
Big up Kamanda Lema, big up Kilewo, viva M4C.
Mnapingana na chadema au mnapingana na wachaga? Miaka yote wachaga wamepigwa vita wasiendeshe hii nji na kuwapunguza makali kwa maneno mengi kuwa ni wezi nk....lakini kwa ushujaa walio nao wameweza kuwa muhimili wa uchumi wa nchi na kabila lenye maendeleo katika nyanja zote ikiwemo kiuchumi, kielimu, huduma zote muhimu kama afya, usafiri, usafi wa mazingira, umeme,maji nk. Nina imani kama mchaga atapewa hii nchi na akapanga safu ya wachaga kuongoza basi baada ya miaka mitano kiuchumi tunaweza kuwa kama china, kiafya kama india, viwanda kama japan na miji yetu ikawa na maendeleo kama paris. Ipo mifano kidogo ya wachaga waliothubutu wakiwemo mrema, mtei...kimei ameipaisha crdb from grass root to a giant bank, mengi hakuna asiyejua mchango wake katika jamii, ananilea nkya karudisha heshima ya kina mama wengi,na wengine kibao. Sijui ni kwa nini watanzania wanashindwa kufungua macho kwa kuona uchapa kazi wa wachaga. Chukua mfano mji wowote ambao hauna wachaga then angalia maendeleo yake...wachaga wanaleta changamoto kila sehemu kwa hiyo mbinu ya kuwafanya wasitawale ni mahsusi kwa sababu wanaofiwa wakitawala watawafungua watanzania macho na hawataweza kunyonywa tena. Ikumbukwe kuwa sera ya kufungua mipaka na kuingia katika soko huria ilitetewa na mtei ambaye ni muanzilishi wa chadema muda mrefu enzi hizo akiwa gavana lakini mwalimu akamkatalia. Matokeo yake ni nini? Leo hii sisi ndio waumini wakubwa wa mambo yaleyale...watanzania tuamke tuwape wachaga nchi. Mimi si mchaga lakini nimekaa na wachaga ninawajua ni watu ambao wanapenda sana maendeleo, hawana ubinafsi, hawajivuni, wana upendo, ni wacha mungu nk. Hizo sifa nyingine kama wizi ni gender sterio type ila kwa sababu hawa jamaa ni very firm huwa hawakati tamaa wala kubisha nyie mnaongea wao wanafanya maendeleo hilo halina ubishi na anayebisha ajitokeze. T2015 cdm...aka chaga daima huwaza maendeleo
Mnapingana na chadema au mnapingana na wachaga? Miaka yote wachaga wamepigwa vita wasiendeshe hii nji na kuwapunguza makali kwa maneno mengi kuwa ni wezi nk....lakini kwa ushujaa walio nao wameweza kuwa muhimili wa uchumi wa nchi na kabila lenye maendeleo katika nyanja zote ikiwemo kiuchumi, kielimu, huduma zote muhimu kama afya, usafiri, usafi wa mazingira, umeme,maji nk. Nina imani kama mchaga atapewa hii nchi na akapanga safu ya wachaga kuongoza basi baada ya miaka mitano kiuchumi tunaweza kuwa kama china, kiafya kama india, viwanda kama japan na miji yetu ikawa na maendeleo kama paris. Ipo mifano kidogo ya wachaga waliothubutu wakiwemo mrema, mtei...kimei ameipaisha crdb from grass root to a giant bank, mengi hakuna asiyejua mchango wake katika jamii, ananilea nkya karudisha heshima ya kina mama wengi,na wengine kibao. Sijui ni kwa nini watanzania wanashindwa kufungua macho kwa kuona uchapa kazi wa wachaga. Chukua mfano mji wowote ambao hauna wachaga then angalia maendeleo yake...wachaga wanaleta changamoto kila sehemu kwa hiyo mbinu ya kuwafanya wasitawale ni mahsusi kwa sababu wanaofiwa wakitawala watawafungua watanzania macho na hawataweza kunyonywa tena. Ikumbukwe kuwa sera ya kufungua mipaka na kuingia katika soko huria ilitetewa na mtei ambaye ni muanzilishi wa chadema muda mrefu enzi hizo akiwa gavana lakini mwalimu akamkatalia. Matokeo yake ni nini? Leo hii sisi ndio waumini wakubwa wa mambo yaleyale...watanzania tuamke tuwape wachaga nchi. Mimi si mchaga lakini nimekaa na wachaga ninawajua ni watu ambao wanapenda sana maendeleo, hawana ubinafsi, hawajivuni, wana upendo, ni wacha mungu nk. Hizo sifa nyingine kama wizi ni gender sterio type ila kwa sababu hawa jamaa ni very firm huwa hawakati tamaa wala kubisha nyie mnaongea wao wanafanya maendeleo hilo halina ubishi na anayebisha ajitokeze. T2015 cdm...aka chaga daima huwaza maendeleo
Msikose kuangalia vuguvugu la mabadiliko kupitia Star Tv leo saa tatu usiku. Lengo ni kuchagisha 5 bil.
M4C Dar es salaam, We have the power. 5 Bil inawezekana
only83
acha kupotosha lengo la harambee hiyo. Tunajua kuwa harambee hiyo inahusu kuandaa mapokezi ya ulimboka ikiwa ni pamoja na kuchangia utengenezaji wa kanda yenye upotoshaji kuwa serikali ndiyo iliyohusika na utekaji.
Mbowe kaamua kumpa mchaga mwenzake, Lema shavu la kuwaibia wananchi kwa slogan ya M4C=Movement 4 Chaga.
Naona kwa sasa lema ndie msemaji mkuu wa chama kazi kweli kweli.
Naona kwa sasa lema ndie msemaji mkuu wa chama kazi kweli kweli.
Ivi kwa nini mtu huru akitoa mawazo yake huru kupingana na hoja ya shabiki wa cdm anajibiwa kwa matusi? Haiwezekani tu kujibiwa kwa hoja ama kueleweshwa aachane na magamba