Kamanda Freeman Mbowe kusimamia changisho la M4C leo serena hotel...

Status
Not open for further replies.
Yaani film ndo ziratibiwe na Wanaharakati, SAID KUBENEA na REGINARLD MENGI? nini kimejificha nyuma ya pazia? kwa nini wale waliokuwa wakiizushia Serikali kuwa ndiyo imehusika ndiyo hao hao wanaoandaa film hiyo na mapokezi ya Ulimboka? Watanzania wenzangu nadhani tuna jambo la kujifunza hapa. CDM si chama cha Siasa, Hellen Kijo Bisima siyo mkurugenzi wa Kutuo cha haki za binadamu, Ananilea Nkya siyo Mwenyekiti wa TAWLA. Hao ni hatari sana kwa mshikamano, amani na utulivu wa Taifa letu. Lazima tujifunge vibwebwe kuhakikisha hatuliingizi taifa katika machafuko kwa sababu tu ya uchu wa madaraka, wivu wa kishenzi na Ukabila ulioota mizizi. 2015 bila ZITTO, CDM ifie mbali huko.
Join Date : 30th July 2012
Posts : 150
Rep Power : 393
Likes Received14
Likes Given1

naanza kuwa na mashaka na uelewa wako.kama ulipita shule inawezekana ikawa ya kata.
MAMA nkya ni Mkurugenzi wa TAMWA na sio TAWLA
 
Mnachangisha watu halafu kina Slaa wanajigawia utasema karanga, kwanza kusanyeni alizokopa Slaa halafu ndio muombe zingine.
 

Akili kama hizi ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu...hata hivyo, kwani kumpokea Ulimboka ni vibaya? au kuandaa film kuonyesha ushenzi wa serikali ni vibaya? Acha kuleta hoja zako matope hapa.

Kumpokea aliyeuwawa na kufufuka sio kosa!!
 
Yaani film ndo ziratibiwe na Wanaharakati, SAID KUBENEA na REGINARLD MENGI? nini kimejificha nyuma ya pazia? kwa nini wale waliokuwa wakiizushia Serikali kuwa ndiyo imehusika ndiyo hao hao wanaoandaa film hiyo na mapokezi ya Ulimboka? Watanzania wenzangu nadhani tuna jambo la kujifunza hapa. CDM si chama cha Siasa, Hellen Kijo Bisima siyo mkurugenzi wa Kutuo cha haki za binadamu, Ananilea Nkya siyo Mwenyekiti wa TAWLA. Hao ni hatari sana kwa mshikamano, amani na utulivu wa Taifa letu. Lazima tujifunge vibwebwe kuhakikisha hatuliingizi taifa katika machafuko kwa sababu tu ya uchu wa madaraka, wivu wa kishenzi na Ukabila ulioota mizizi. 2015 bila ZITTO, CDM ifie mbali huko.

Borog.gif unabwabwaja sana humezi hata mate!
ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU
KAMWE HUWEZI KUZUIA HARAKATI ZA CHADEMA.
 
Wenye akili zao wanasema "SIKU MJINGA AKIJITAMBUA MWEREVU UPO MATATANI ". Hofu yako ni nini? Kwanza nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri. Taifa hili limefika hapa kwa sababu ya akili ndogo kuongoza akili kubwa. Acha kufikiri kwa kutumia masaburi. M4C FOREVER FOR ATTAINING THE TANZANIA WE WANT.
 
Yaani kuna watu wakisikia mambo kama haya matumbo ya kuhara huwashika bse with CDM on the throne ulaji wao at the expense of poor and ompoverished Tanzanians utakuwa umekwisha
 
Hivi kweli wewe unajiona unafaa kuitwa great Thinker? au wewe ni Mshumbuzi nini?



Kwani wewe unaonaje?
Mwisho,lengo langu lilikuwa ni kukutaka utathimini na udurusu uwezo wako katika kupambanisha hoja.
Wala sikulenga kufanya majadiliano yoyote ya maana ma wewe...utabaini sikujibu hoja yako hata moja...ishara tosha kuwa nimekupuuza.
Wapuuzi ni wa kupuuzwa....Katika hali ya kawaida, mtu mwenye akili timamu hawezi kujadiliana jambo lolote na kichaa.
Vichaa, wao kwa kuwa wana fikra,mitazamo, matamanio na tabia zinazofanana na kwa kuwa wana hatma inayofanana, wanaweza kushirikiana kwa mambo mengi.
 
Acha kupotosha lengo la harambee hiyo. Tunajua kuwa harambee hiyo inahusu kuandaa mapokezi ya ULIMBOKA ikiwa ni pamoja na kuchangia utengenezaji wa kanda yenye upotoshaji kuwa Serikali ndiyo iliyohusika na Utekaji.

Watu wenye mawazo kama haya ni hatari sana-it is unfortunate hatuwezi kujitenga nao as they make part of our community. Tunaitaji kulijenga taifa nasio ushabiki.
 
Naomba tu nikumbishie huu ushauri niliowahi kuutoa humu JF

"Nimekuwa mchangiaji wa mara kwa mara kwenye M4C kwa njia ya m-pesa. Hata hivyo siku za karibuni nimejikuta naacha taratibu kutokana na kujiuliza bila majibu maswali yafuatayo;
- Hivi bado tunahitajika kuchangia?
- Ela zimetosha?
- Tumeshachangia sh ngapi?
- M4C kwa sasa inahitaji sh ngapi, na ngapi wanazo?

Naomba viongozi wa CDM, kama wanahitaji michango kutoka kwetu wanachama, watujibu maswali hayo hapo juu
Naomba niwape ushauri ufuatao, namna ya kujibu maswali hayo...

1. Waweke matangazo ya kuhamasisha uchangiaji, na kukumbusha namna ya kuchangia kwenye vyombo vya habari kama TV, redio na magazeti
2. Waombe nafasi JF, kuwe na sticky thread inayokuwa updated mara kwa mara juu ya hali ya uchangiaji, nini kimechangiwa, kimechangiwa na watu wangapi, nini kinahitajika, na kuhamasisha watu wachangie
3. Mtu akichangia kwa m-pesa, ajibiwe kwa msg, ikionyesha hadi wakati huo ameshachangia kiasi gani (hiyo namba yake), akaunti ina kiasi gani, kimechangiwa na watu wangapi, na akaribishwe na kuombwa kuendelea kuchangia
4. Afisa habari, ama ikiwezekana katibu mkuu awe anaongea na waandishi wa habari, angalau mara moja kwa mwezi, akitoa taarifa, pamoja na mambo mengine, progress ya M4C (wamefanya mikutano mingapi, wanachama wangapi wapya wamejiunga, nini malengo ya sasa na ya baadae juu ya M4C, atoe almanac ya mikutano kwa kipindi cha mwezi mmoja unafuata), lakini pia atumie wasaa huo kuhamasisha wananchi wachangie M4C.



Nimetoa ushauri wangu tu kama mtaalamu wa mambo ya harambee, nikijua kuwa moja wapo ya namna ya kumhamasisha mtu achangie, ni kwa kuonyesha kutambua na kutahmini mchango wake, kuonyesha mchango wake ni sehemu gani ya kilichochangwa/kunachohitajika, kuonyesha ni watu wangapi wanachangia n.k.
"
 
Mnapingana na chadema au mnapingana na wachaga? Miaka yote wachaga wamepigwa vita wasiendeshe hii nji na kuwapunguza makali kwa maneno mengi kuwa ni wezi nk....lakini kwa ushujaa walio nao wameweza kuwa muhimili wa uchumi wa nchi na kabila lenye maendeleo katika nyanja zote ikiwemo kiuchumi, kielimu, huduma zote muhimu kama afya, usafiri, usafi wa mazingira, umeme,maji nk. Nina imani kama mchaga atapewa hii nchi na akapanga safu ya wachaga kuongoza basi baada ya miaka mitano kiuchumi tunaweza kuwa kama china, kiafya kama india, viwanda kama japan na miji yetu ikawa na maendeleo kama paris. Ipo mifano kidogo ya wachaga waliothubutu wakiwemo mrema, mtei...kimei ameipaisha crdb from grass root to a giant bank, mengi hakuna asiyejua mchango wake katika jamii, ananilea nkya karudisha heshima ya kina mama wengi,na wengine kibao. Sijui ni kwa nini watanzania wanashindwa kufungua macho kwa kuona uchapa kazi wa wachaga. Chukua mfano mji wowote ambao hauna wachaga then angalia maendeleo yake...wachaga wanaleta changamoto kila sehemu kwa hiyo mbinu ya kuwafanya wasitawale ni mahsusi kwa sababu wanaofiwa wakitawala watawafungua watanzania macho na hawataweza kunyonywa tena. Ikumbukwe kuwa sera ya kufungua mipaka na kuingia katika soko huria ilitetewa na mtei ambaye ni muanzilishi wa chadema muda mrefu enzi hizo akiwa gavana lakini mwalimu akamkatalia. Matokeo yake ni nini? Leo hii sisi ndio waumini wakubwa wa mambo yaleyale...watanzania tuamke tuwape wachaga nchi. Mimi si mchaga lakini nimekaa na wachaga ninawajua ni watu ambao wanapenda sana maendeleo, hawana ubinafsi, hawajivuni, wana upendo, ni wacha mungu nk. Hizo sifa nyingine kama wizi ni gender sterio type ila kwa sababu hawa jamaa ni very firm huwa hawakati tamaa wala kubisha nyie mnaongea wao wanafanya maendeleo hilo halina ubishi na anayebisha ajitokeze. T2015 cdm...aka chaga daima huwaza maendeleo
 
Mnapingana na chadema au mnapingana na wachaga? Miaka yote wachaga wamepigwa vita wasiendeshe hii nji na kuwapunguza makali kwa maneno mengi kuwa ni wezi nk....lakini kwa ushujaa walio nao wameweza kuwa muhimili wa uchumi wa nchi na kabila lenye maendeleo katika nyanja zote ikiwemo kiuchumi, kielimu, huduma zote muhimu kama afya, usafiri, usafi wa mazingira, umeme,maji nk. Nina imani kama mchaga atapewa hii nchi na akapanga safu ya wachaga kuongoza basi baada ya miaka mitano kiuchumi tunaweza kuwa kama china, kiafya kama india, viwanda kama japan na miji yetu ikawa na maendeleo kama paris. Ipo mifano kidogo ya wachaga waliothubutu wakiwemo mrema, mtei...kimei ameipaisha crdb from grass root to a giant bank, mengi hakuna asiyejua mchango wake katika jamii, ananilea nkya karudisha heshima ya kina mama wengi,na wengine kibao. Sijui ni kwa nini watanzania wanashindwa kufungua macho kwa kuona uchapa kazi wa wachaga. Chukua mfano mji wowote ambao hauna wachaga then angalia maendeleo yake...wachaga wanaleta changamoto kila sehemu kwa hiyo mbinu ya kuwafanya wasitawale ni mahsusi kwa sababu wanaofiwa wakitawala watawafungua watanzania macho na hawataweza kunyonywa tena. Ikumbukwe kuwa sera ya kufungua mipaka na kuingia katika soko huria ilitetewa na mtei ambaye ni muanzilishi wa chadema muda mrefu enzi hizo akiwa gavana lakini mwalimu akamkatalia. Matokeo yake ni nini? Leo hii sisi ndio waumini wakubwa wa mambo yaleyale...watanzania tuamke tuwape wachaga nchi. Mimi si mchaga lakini nimekaa na wachaga ninawajua ni watu ambao wanapenda sana maendeleo, hawana ubinafsi, hawajivuni, wana upendo, ni wacha mungu nk. Hizo sifa nyingine kama wizi ni gender sterio type ila kwa sababu hawa jamaa ni very firm huwa hawakati tamaa wala kubisha nyie mnaongea wao wanafanya maendeleo hilo halina ubishi na anayebisha ajitokeze. T2015 cdm...aka chaga daima huwaza maendeleo
 
Yaani film ndo ziratibiwe na Wanaharakati, SAID KUBENEA na REGINARLD MENGI? nini kimejificha nyuma ya pazia? kwa nini wale waliokuwa wakiizushia Serikali kuwa ndiyo imehusika ndiyo hao hao wanaoandaa film hiyo na mapokezi ya Ulimboka? Watanzania wenzangu nadhani tuna jambo la kujifunza hapa. CDM si chama cha Siasa, Hellen Kijo Bisima siyo mkurugenzi wa Kutuo cha haki za binadamu, Ananilea Nkya siyo Mwenyekiti wa TAWLA. Hao ni hatari sana kwa mshikamano, amani na utulivu wa Taifa letu. Lazima tujifunge vibwebwe kuhakikisha hatuliingizi taifa katika machafuko kwa sababu tu ya uchu wa madaraka, wivu wa kishenzi na Ukabila ulioota mizizi. 2015 bila ZITTO, CDM ifie mbali huko.

Wewe sio Mtanzania. Cjawahi kumwona wala kumsikia Mtanzania mwenye akili za kugundishiwa kama wewe.
 
Acha kupotosha lengo la harambee hiyo. Tunajua kuwa harambee hiyo inahusu kuandaa mapokezi ya ULIMBOKA ikiwa ni pamoja na kuchangia utengenezaji wa kanda yenye upotoshaji kuwa Serikali ndiyo iliyohusika na Utekaji.

Kwa kuwa unajua serikali haihusiki Inaonekana wewe unajua ni nani anayehusika na utekaji wa ulimboka. Fine tuambie basi ni nani anayehusika?
 
msikose kuangalia vuguvugu la mabadiliko kupitia star tv leo saa tatu usiku. Lengo ni kuchagisha 5 bil.

M4c dar es salaam, we have the power. 5 bil inawezekana

mkuu,
naomba unielekeze ninakoweza kupata cd ya documentary iloonyeshwa kwenye halambee ya cdm arusha.niliipenda sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom