Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
nKama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
Ni usemi maarufu huu......je Papa Benedict anayetawala sehemu kubwa ya dunia unasemajeKama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
i think itakua yoyote yale except masomo....Halafu hata hiyo dhana ya mafanikio nayo ni subjective. Au tunazungumzia mafanikio gani hapa? Ya kikazi (career-wise), ya kimasomo, ya kijamii, ya kifedha, ya kiroho, au ni mafanikio yepi hasa? Au ni mafanikio yoyote tu kiujumla?
Kweli hili linawezekana kabisa,ila ni ngumu kwa married man,kwani feelings zake pamoja na mtazamo chanya wa maisha unategemea namna mke wake anavyomcare,akiwa mjinga na mume nae hatakuwa mtulivu!Huo usemi si kweli kihivyo. Kuna watu kibao tu ambao nawajua mimi ambao wana mafanikio bila ya kuwa na wanawake. Nadhani ni usemi tu ambao nia yake kuu ilikuwa ni kuwapa wanawake faraja ya aina fulani ili na wao wasijione kuwa wako duni na hawana mchango wowote.