Naomba wanajf -great thinkers mnisaidie -kama zombe na wenzake walifikishwa mahakmani kwa kuua kwanini hawa walioua arusha wasifikishwe mahakamani -ili mahakama iseme walipaswa kuua au la? Kwa kuwa hakuna mwenye idhini ya kutoa uhai wa mwenzie kwanini hawa wa arusha ambao wamekiri kupitia kauli ya chagonja kwamba waliua kweli -kwanini wasifikishwe mahakamani kujibu kosa la kuua? Mahakama ndio chombo pekee cha kusema.
Nisaidieni hawa askari walioua wako rumande au wako wapi??? Manake hata nyumbani ukimkuta jamaa analamba mkeo ukiua lazima ukamatwe -sasa hawa waliokusudia wako wapi? Wamekamatwa? Au ndio kusema kama alivyosema kamishina chagonja kwamba wanatetea serikali kwahiyo anataka umma uamini kwamba waliua kwa magizo? Kwahiyo askari wataendelea kupeta bila hata kupelekwa mahakamni kama akina zombe???? What a double standadrd is this???
Nisaidieni hawa askari walioua wako rumande au wako wapi??? Manake hata nyumbani ukimkuta jamaa analamba mkeo ukiua lazima ukamatwe -sasa hawa waliokusudia wako wapi? Wamekamatwa? Au ndio kusema kama alivyosema kamishina chagonja kwamba wanatetea serikali kwahiyo anataka umma uamini kwamba waliua kwa magizo? Kwahiyo askari wataendelea kupeta bila hata kupelekwa mahakamni kama akina zombe???? What a double standadrd is this???