The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Wadau nimejikuta nafikiria hatma ya nchi yetu pendwa Tanzania, haswa kutokana na yanayojiri ulimwenguni leo, sijiiti mtabiri lakini nikiwa mmoja ninae amini katika uhalisia, naamini nchi yetu itakwama muda si mrefu kiuchumi, na tutarajie anguko kubwa sana hii ni kutokana na kuzidi kuporomoka kwa uchumi wa dunia, ambao umeshazikumba nchi za ulaya, leo kama Italy, na Greece zimefilisika vipi nchi yetu hii ambayo haijawahi kuwa tajiri! Taasisi za uchumi zinatabiri uwepo wa great depresion katika majira mafupi yajayo.
Shule hazitaendesheka, vyuo halikadhalika, mahospitali yetu yatakosa uwezo wa kuhudumia wagonjwa na hii nikutokana na kuyumba kwa uchumi.
Marekani na China zimeshatangaza misimamo yao ya kutokuisadia nchi yoyote ya ulaya itakayofilisika je wataweza kutusaidia sisi wa huku bara la tatu.
Kweli Serikali hii ya masharobaro isipoamua kutulia na kutafuta solution za kunusuru uchumi, janga litakalotokea itachukua milongo kurekebisha hali hii.
Shule hazitaendesheka, vyuo halikadhalika, mahospitali yetu yatakosa uwezo wa kuhudumia wagonjwa na hii nikutokana na kuyumba kwa uchumi.
Marekani na China zimeshatangaza misimamo yao ya kutokuisadia nchi yoyote ya ulaya itakayofilisika je wataweza kutusaidia sisi wa huku bara la tatu.
Kweli Serikali hii ya masharobaro isipoamua kutulia na kutafuta solution za kunusuru uchumi, janga litakalotokea itachukua milongo kurekebisha hali hii.