Kama Wz’bar hawakupewa fursa ya kura ya maoni, Basi hakuna lakuchangia katika katiba ya Tanganyika.

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
[h=1][/h]Written by Hassan10 // 15/07/2011 // Habari // No comments



NA HII NDIO TANGANYIKA KABLA YA MUUNGANO, KIPI WALICHO LOOSE? KATIBA,BENDERA AU NEMBO YA TAIFA LA TANGANYIKA?"]

HII NDIO TANZANIA YA SASA UANGALIE UJANJA WA MUUNGANO.



Mimi hushangazwa sana na viongozi wetu wa smz kila moja husema subirini ukushanyaji wa maoni ya Katiba mutapata fursa ya kutocha kutowa maoni yenyu?, hii Wzanzibar nikurowekwa tu na viongozi wetu tulio wapa majukumu hutafuta mbinu za kuyakwepa.

Kifupi ikiwa Wzanzibar hatuto fanya kitu chochote hivi sasa kabla ya kuja hilo Jindamizi la Katiba na tukaskiliza kauli za wana siasa basi tutaangamia sisi na kizazi chetu chote kijacho, maana haingii akilini hata kidogo kuwa Wzanzibar tukae kitako tusubiri Azabu yenye kumiza? sisi maoni ya katiba yatatusaidia nini Zanzibar?.

Wallah ikiwa tutakaa na kusubiri tutowe michango yetu kuhusu vipi katiba ya Tanganyika iwe basi itakuwa sisi ni majuha na twachangia kitu kisicho tuhusu sisi na upande mwengine ni hasara na majonzi kutowa michango yetu tukifanya hivyo.

Nasema hivyo kutokana na dalili nyingi ambazo zimechajitokeza kuwa wenzetu siwo na hawana zamira ya kweli, kwanza utasemaje kuwa ktk kuchangia maoni swala la Muungano lisikuswe abooo? sasa ikiwa swala la Muungano ndio priority yamwanzo kwa Wzanzibar, kuna kipi tena chakuchangia kwa Zanzibar?

Au wamesha zowea ktk vigao vyao vya chama kuwa kwa upande wa viongozi wao Zanzibar siku zote ni hawala Bwana hata kama wanaiteketeza Zanzibar na kuitowa mlongo wa Nyuma? wakati ule umeshapitwa na hatutekeemei kurudi tena.

Wazanzibar wa sasa sio wakufanya Bind na kuibiwa kimacho macho na wajanja wanao jita Wtanzania kumbe ni Wtanganyika, hakuna asio juwa kuwa hivi sasa Muungano unanuka Zanzibar kama vile vidonda vya Muhimbili kutokana na ujambazi na ulahai muliotufanyia na munaendelea kufanya, ikiwa utamuona Mzanzibar kasimama hivi sasa kutetea Muungano awe kiongozi au mtu wa kawaida basi nilazima ufanye chaka itakuwa ama kachanganya na Tanganyika ana damu ya huko.

Mimi nasema hivi sasa sio wakati tena wakudai Serekali 3 hata tujalie Bara wakubali hivyo basi sisi Wzanzibar nikuvunja Muungano fake, tusikubali kudanganywa muda huu tulio nao, Sitta asema kurudi kwa Tanganyika ni uchindani, wewe Sitta unazani Wzanzibar wote Pumba?

Sisi tumechawashtukizia kuwa nimatapeli,majambazi mpaka ktk Serekali, Nimpumbavu gani alokuwa hajuwi kuwa Tanganyika ipo na haikupoteza kitu chochote cha Tanganyika ktk Muungano? Kuanzia Katiba, Bendera Mpaka nembo ya Taifa la Tanganyika ni ile ile inayo tumika hivi sasa kufanya nembo ya Tanzania, na Bendera ya Tanganyika ni ile ile ya Tanzania Bada ya mistari kukaa sawa imepanda kilima tu.

Kwa hio nisawa Mh Samuil Sitta useme Tanganyika isirudi ndio ? kwa sababu Tanganyika ipo na ndio hio Tanzania nisawa na Zaire Kuita Kongo hivi sasa, kwa hio wanao sema hawataki mfumo wa sasa wa Serekali mbili akina Mh Mansoor nazani wamejisahau au wameshindwa kujuwa mambo?

Kwani hivi sasa tujiulize tuka ktk mfumo wa Serekali ngapi? kifupi Serekali ni Moja yani Republic of Tanzanzia/Tanganyika, Zanzibar imecha mezwa ktk Tumbo la Tanzania ambayo ni Tanganyika kikatiba,Bendera,Nembo ya Taifa na hata Mambo ya Njee inajulikana Tanzania lakini ni kitega uchumi cha Tanganyika huvugwa vugwa tu Viongozi wa smz lakini Tanganyika haijaluzi kitu na iko imara kwa Mwezuli wa Tanzania.

Kwa hio Ndugu zangu kama tunasubiri kutowa michango yetu ya katiba ? basi tusubiri kuchangia bajeti ya Tanganyika kwa faida ya Wtanganyika sisi Zanzibar tumepotezwa hata jirani zetu Mourishz Wanatucheka kuto kujitambua na mpaka leo kuona viongozi wetu wanajuwa Muungano haupo tena lakini wao bado wamebaki tulinde na tuienzi Tanganyika izidi kumaliza.

SASA ANGALIENI JEE TANGANYIKA IMEKUFA?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom