figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
mia
anatisha kuku:cool2:
Bata mkali mla nyagi tehe tehe uswazi bwana
Kula bata ndio hobby yangu.
Huyo lazima akache akiniona.
sasa anauzwa au mlinzi
aisee nyie hamumujui huyo bata alikuwa anafukuza watu ile mbaya hilo geti lipo Arusha sehemu inaitwa kimandoru ya chini
Hapo mkali siyo bata ni kitu kingine nyie hamuelewi.
bata alivo na motion ya madoido atanikamata sangap