NATAFUTA MPENZI"
1.AWE MZURI
2.AWE MSAFI
3.AWE NA HESHIMA KWA WATU WOTE
4.TABIA NZURI
5.ASIPENDE PESA
6.AWE NA MIAKA ISIZIDI 20
7.AWE MVUMILIVU
8.AJUE KUPENDA
9.SICHAGUI HALI..MASKINI AU WAKISHUA ME NTAMPENDA TU
:baby:
Labda mimi ni Kilaza, hivi Msichana asiyedhidi miaka 20 si anapaswa kuwa shule? sidhani kama mleta mada unajitambuwa.
Umeona ee! Kweli wazazi kazi tunayo.yaani tunapoteza ada huko mashuleni hadi basi.
Unahangaika na tranka mtoto anatafuta mpenzi.
Nyie watoto mtatuua wazazi wenu.
Umeona ee! Kweli wazazi kazi tunayo.
Miaka yetu haya mambo hayakuwepo kabisa!