haiwezekani mtu unazunguka mji mzima kisa ATM.kama hamuezi kuvitumia virudisheni mlipovitoa kutuletea dhiki.kwanini hamzikarabati na kutuwekea hela?hela tunazitafuta kwa shida hata tukishazipata mnataka tuzitumie kwa shida?
SIKUMOJA ILINITESA
NILITOKA HOME NA BKU 2
NKAENDA PALE URAFIKI
NKAKUTA HAKUNA NETWORK nkachukua boda ili niwahi pale mlimani city napo hola
ikanibidi niombe boda linilete mtaani niombe hela sehem
nilikasirika mno loool