Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Kwenye uchaguzi mkuu uliopita aliyekuwa IGP Omar Mahita alikuwa akionyesha visu vyenye rangi ya bluu na nyekundu akatangaza kuwa vimetengenezwa na CUF, sasa hii SMG yenye rangi ya kijani na njano atuambie kama nayo imetengenezwa na CCM kwa vile ina rangi ya bendera ya CCM.
Iwapo zile zilikuwa propaganda za CCM, hivi CUF nao wakitumia fulsa hii kama propaganda tutawalaumu?
Iwapo zile zilikuwa propaganda za CCM, hivi CUF nao wakitumia fulsa hii kama propaganda tutawalaumu?