Mutta
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 101
- 11
Ndugu wana jf poleni na shughuli za kujenga Taifa.Mimi binafsi najaribu kuangalia rasilimali za nchi tulizonazo hapa nchini. Tunaishia kukaa kwenye STOOL ya DHAHABU huku tukiwa SAIDIA baba,SAIDIA maskini,tukitegemea misaada kwa 70%.Je wao wenye vya kufikiri wamefanya nini?