Kama vichwa vyao si kufuga nywele,je wametufisha wapi?

Mutta

Senior Member
Mar 24, 2011
101
11
Ndugu wana jf poleni na shughuli za kujenga Taifa.Mimi binafsi najaribu kuangalia rasilimali za nchi tulizonazo hapa nchini. Tunaishia kukaa kwenye STOOL ya DHAHABU huku tukiwa SAIDIA baba,SAIDIA maskini,tukitegemea misaada kwa 70%.Je wao wenye vya kufikiri wamefanya nini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom