Vodka
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 906
- 96
Inasemekana wanawake wanaongoza kwa kuitana majina matamu wao kwa wao kama,sweet,honey,dear,my love,darling nk. Na wanaume wanaongoza kuitana majina ya ajabu ajabu wenyewe kwa wenyewe kma ,mbiga ,mzushi,jembe,*****,mkaksi nk. Sasa hebu tuambizane ingekuwaje kama wanaume wangeitana majina matamu wenyewe kwa wenyewe na wananake majina ya ajabu wenyewe kwa wenyewe?