Kama unataka high speed downloads

CalvinPower

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
1,571
882
Nina unlocked modem Huawei yenye download speed inayofika 7.2Mbps. ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) Vodacom / AirTel watafikisha 1.7Mbps HSDPA ( High-Speed Downlink Packet Access ) Hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline ADSL (Asymmetric Digital Subscriber Line), Ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download DiVx Movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo HSDPA. Kama hakuna signal za HSDPA basi utapata GPRS signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. kunawakati inashuka below 10kbps. epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa Ni bora uwe na weak signal strength za HSDPA kuliko kuwa na full signal strength za GPRS. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa HSDPA coverage iwe ni Vodacom au AirTel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za HSDPA then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> Options:> , Network:> kwenye Network type chagua "WCDMA only" ili isiruke kwenda high signals za GPRS. Kama Modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya Vodacom na AirTel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
Airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya HSDPA.( ina expire baada mwezi )
15Gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya HSDPA. (ina expire baada ya wiki)

Vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya mwezi)
3Gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya miezi 3)

Zipo plan nyingi tu ila epuka kitu UNLIMITED.
 
Hao Voda na Airtel wazushi kwa kuwa sio site zote zina 3G na mtu huwezi kubeba computer kwenda eneo fulani kufuata 3G coverage..signal inatakiwa ikufuate wewe!! sasa hayo maGB utayamaliza vipi wakati speed ni ndogo? ni kama mtu anakupa pipa la maji halafu anataka uliempty kwa kutumia kijiko cha chai kwa muda mfupi!!
Nakushauri kama upo mjini(i mean makao makuu ya mkoa wowote Tz) tumia Zantel EV-DO CDMA modem utapata 3.1 Mbps(apprx) kwa kila sehemu yenye coverage
 
Mbona topic hii kidogo hiko out of SYNC. Jaribu kuirekebisha hili ueleweke vizuri, Samahani lakini.
 
Nimetoka mtupu hapa kwa kweli... Hiyo 15gb kwa tsh 15,000/- mbona ndio nasikia kwako leo?
 
Hao Voda na Airtel wazushi kwa kuwa sio site zote zina 3G na mtu huwezi kubeba computer kwenda eneo fulani kufuata 3G coverage..signal inatakiwa ikufuate wewe!! sasa hayo maGB utayamaliza vipi wakati speed ni ndogo? ni kama mtu anakupa pipa la maji halafu anataka uliempty kwa kutumia kijiko cha chai kwa muda mfupi!!
Nakushauri kama upo mjini(i mean makao makuu ya mkoa wowote Tz) tumia Zantel EV-DO CDMA modem utapata 3.1 Mbps(apprx) kwa kila sehemu yenye coverage


yeah i am with zantel... and its rocks... regardless how many signal bars i m having... even just one bar still super!
 
nina unlocked modem huawei yenye download speed inayofika 7.2mbps. Ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) vodacom / airtel watafikisha 1.7mbps hsdpa ( high-speed downlink packet access ) hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline adsl (asymmetric digital subscriber line), ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download divx movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo hsdpa. Kama hakuna signal za hsdpa basi utapata gprs signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. Kunawakati inashuka below 10kbps. Epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa ni bora uwe na weak signal strength za hsdpa kuliko kuwa na full signal strength za gprs. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa hsdpa coverage iwe ni vodacom au airtel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za hsdpa then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> options:> , network:> kwenye network type chagua "wcdma only" ili isiruke kwenda high signals za gprs. Kama modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya vodacom na airtel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya hsdpa.( ina expire baada mwezi )
15gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya hsdpa. (ina expire baada ya wiki)

vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya hsdpa (ina expire baada ya mwezi)
3gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya hsdpa (ina expire baada ya miezi 3)

zipo plan nyingi tu ila epuka kitu unlimited.



hii ya 400mb ya airtell unaweka vipi?unatuma vipi request?
 
nina unlocked modem huawei yenye download speed inayofika 7.2mbps. Ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) vodacom / airtel watafikisha 1.7mbps hsdpa ( high-speed downlink packet access ) hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline adsl (asymmetric digital subscriber line), ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download divx movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo hsdpa. Kama hakuna signal za hsdpa basi utapata gprs signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. Kunawakati inashuka below 10kbps. Epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa ni bora uwe na weak signal strength za hsdpa kuliko kuwa na full signal strength za gprs. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa hsdpa coverage iwe ni vodacom au airtel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za hsdpa then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> options:> , network:> kwenye network type chagua "wcdma only" ili isiruke kwenda high signals za gprs. Kama modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya vodacom na airtel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya hsdpa.( ina expire baada mwezi )
15gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya hsdpa. (ina expire baada ya wiki)

vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya hsdpa (ina expire baada ya mwezi)
3gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya hsdpa (ina expire baada ya miezi 3)

zipo plan nyingi tu ila epuka kitu unlimited.


kwa nini tuepuke unlimited?give us reason kijana?am planning to buy vodacom mode and unlocking it
 
Nimetoka mtupu hapa kwa kweli... Hiyo 15gb kwa tsh 15,000/- mbona ndio nasikia kwako leo?
oh sorry ni 3gb kwa 15000/ niliandika thread hii usiku sana saa kumi kasoro, nilikuwa na download "ze lion king" kuna ambao wanasema hawaelewi nilichokuwa naelezea sorry kazi ya uandishi inawenyewe wanakupangia maelezo yaliyonyooka. mimi Im not good in it.
 
oh sorry ni 3gb kwa 15000/ niliandika thread hii usiku sana saa kumi kasoro, nilikuwa na download "ze lion king" kuna ambao wanasema hawaelewi nilichokuwa naelezea sorry kazi ya uandishi inawenyewe wanakupangia maelezo yaliyonyooka. mimi Im not good in it.

Ok... Hapo sasa nimekupata vizuri, maana nilitaka kwenda kununua modem za hao jamaa kesho tu.. Mimi na uzee wangu na ng'ang'ania Dsl cable za simbanet na sina mpango wa kununua hizo modem, na kama ikitokea hivyo nitanunua modem ya zantel ambayo nasikia huo mtandao una speed nzuri ukilinganisha na mitandao mingine.
 
Nina unlocked modem Huawei yenye download speed inayofika 7.2Mbps. ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) Vodacom / AirTel watafikisha 1.7Mbps HSDPA ( High-Speed Downlink Packet Access ) Hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline ADSL (Asymmetric Digital Subscriber Line), Ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download DiVx Movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo HSDPA. Kama hakuna signal za HSDPA basi utapata GPRS signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. kunawakati inashuka below 10kbps. epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa Ni bora uwe na weak signal strength za HSDPA kuliko kuwa na full signal strength za GPRS. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa HSDPA coverage iwe ni Vodacom au AirTel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za HSDPA then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> Options:> , Network:> kwenye Network type chagua "WCDMA only" ili isiruke kwenda high signals za GPRS. Kama Modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya Vodacom na AirTel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
Airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya HSDPA.( ina expire baada mwezi )
15Gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya HSDPA. (ina expire baada ya wiki)

Vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya mwezi)
3Gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya miezi 3)

Zipo plan nyingi tu ila epuka kitu UNLIMITED.
Umenifungua akili asante
Hiyo kwenye RED ni kweli? au ndo kama 15GB kwa shs 15000
 
Kaka inategemeana na aina ya moderm yako, kwa mini natumia vodacom with UNLIMITED ya 30 days na ipo fast cos na uwezo wakudownload moviez kwa torrent na ina run up to 84kbs
 
Kaka inategemeana na aina ya moderm yako, kwa mini natumia vodacom with UNLIMITED ya 30 days na ipo fast cos na uwezo wakudownload moviez kwa torrent na ina run up to 84kbs

MWANDISHI AMEOZA KICHWA? Mbona haelezi namna ya kununua hzo 400mb za airtel?
 
Kaka inategemeana na aina ya moderm yako, kwa mini natumia vodacom with UNLIMITED ya 30 days na ipo fast cos na uwezo wakudownload moviez kwa torrent na ina run up to 84kbs

Mkuu, hiyo unlimited ya vodacom ni bei gani kwa mwezi, na je modem unayotumia ni aina gani? Ina uwezo wake wa speed ni kiasi gani?
 
MWANDISHI AMEOZA KICHWA? Mbona haelezi namna ya kununua hzo 400mb za airtel?
Pascoe Sikupenda lugha ya matusi uliyoitumia, lakini unaweza kununua hizo MB400 za airtel kwa kutuma msg yenye Neno: INTERNET kwenda Na: 15444 kwa kutumia Modem yako au kwa kuiweka line unayokusudia kujaza hizo MBs kwenye simu ya kiganjani, kisha ukaitoa na kuiweka kwenyemodem yako na kuitumia.
 
Kaka inategemeana na aina ya moderm yako, kwa mini natumia vodacom with UNLIMITED ya 30 days na ipo fast cos na uwezo wakudownload moviez kwa torrent na ina run up to 84kbs

mkuu wewe unapateje 84kbs wakati vodacom wanasema "Internet Bomba offers UNLIMITED data usage with best effort speeds of upto 64kbps"
Vodacom Tanzania - Products & Services/Vodacom Internet/Internet Bomba/internet bomba
na hapa unaposema inategemeana na aina ya modem. nononooooo. modem nyingi sasaivi zina speed 3.6mbps na 7.2mbps. hakuna mtandao wowote hapa TZ unaotoa download speed inayozidi 3.6mbps. kwahiyo mwenye ya 7.2mbps na 3.6mbps watapata chini ya 3.6mbps. ni sawa uwe na Amplifier ya music yenye 20watts halafu una loaudspeakers za 1000watts utegemee spika zitatema 1000watts.
 
Back
Top Bottom