HIMO ONE
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 128
- 7
- Thread starter
- #41
naomba kuchukua fursa hii kuwashukuru sana waanzilishi na wamiliki wa jamii forum,wana jamii forum na wadau wote.
mimi ni mmoja wa wamiliki na wa ba ra na niliamua kuweka tangazo letu hapa kama wiki sasa imepita na kwa kweli tumekuwa tukifuatilia michango ya watu juu ya kazi na kampuni yetu hapa kwa kipindi chote ,inafurahisha sana na ninapenda kuwapongeza sana kwa michango mizuri inayojenga na kusaidia sana.nawashukuru jf kwa kuliacha tangazo letu hapa kwa muda wote bila hata malipo,ukweli ni kuwa watu zaidi ya hamsini wametutumia cv zao hivi karibuni na ukiwauliza wamesoma wapi kuhusu sisi wanasema wameona tangazo letu jamii forum,ahsanteni sana.
la muhimu ambalo nimeamua kuja tena kuwaeleza waungwana ni kusisitiza kuwa kampuni yetu ipo ,inafanya kazi kwa bidii na kwa haraka sana,gharama zetu ziko wazi kabisa na hakuna rushwa wala dhuluma,na watu wote tuliopokea fedha zao kwa kipindi cha mwezi mzima sasa wamepata kazi na wengi wengine wako kwenye pending list na watapata kazi hivi karibuni.
ninapoandika ujumbe huu wapo watanzania 24 kwenye makampuni mbali mbali dsm,morogoro na arusha wakifanya interview zao leo tuu na wamepata nafasi hiyo kutoka hapa kwetu.
kuna watanzania 32 wako kazini sasa na wanafurahia kazi zao wakiwa wamesaidiwa na kampuni yetu.wako watanzania 52 watakaoanza kazi tarehe 2 /1/ 2011 ambao ni juhudi zetu na wote hao wamesaidiwa na ba ra.
kuna watanzania 420 kwenye database yetu na kila siku tunapokea cv 10 mpaka 20 za uhakika za watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi na mara moja tunawasaidia kwa malipo ya shilingi elfu hamsini tuu.
tunapokea nafasi za kazi kutoka kwenye makampuni tulioingia nao mikataba kati ya kazi 5 mpaka 8 kila wiki,na makampuni haya ni makampuni makubwa na madogo yenye uwezo wa kifedha na yenye uwezo wa kati,mashirika ya dini,ngo na mashirika ya kigeni.
matatizo;
watu wengi wanapata shida sana na sisi kutokana na kuwa hatuna address kamili kwa sasa,ni kweli kuwa tulikuwa na ofisi pale magomeni lakini umuhimu na mahitaji yetu yanaonekana kama ofisi ile haitoshi,tumeifunga na sasa tunamalizia ujenzi wa ofisi yetu pale mbezi beach africana nyumbani kwa md wetu,na hiyo itakuwa ofisi ya kudumu.
wito;
naomba wadau na wananchi wenye nia njema na watanzania kuacha upotoshaji,wapeni watu ruhusa ya kujaribu na kuona kama ba ra ni kampuni ya namna gani,hatumlazimishi mtu kutulipa fedha mapema na watu wengi tuu tumewapatia kazi kwa ahadi za malipo baadae na wengi wametulipa kutokana na juhudi zetu na jitihada na moyo wa dhati wa kuwasaidia.
with due respect i berg to present
""lets all make the tanzania we dream of""
mimi ni mmoja wa wamiliki na wa ba ra na niliamua kuweka tangazo letu hapa kama wiki sasa imepita na kwa kweli tumekuwa tukifuatilia michango ya watu juu ya kazi na kampuni yetu hapa kwa kipindi chote ,inafurahisha sana na ninapenda kuwapongeza sana kwa michango mizuri inayojenga na kusaidia sana.nawashukuru jf kwa kuliacha tangazo letu hapa kwa muda wote bila hata malipo,ukweli ni kuwa watu zaidi ya hamsini wametutumia cv zao hivi karibuni na ukiwauliza wamesoma wapi kuhusu sisi wanasema wameona tangazo letu jamii forum,ahsanteni sana.
la muhimu ambalo nimeamua kuja tena kuwaeleza waungwana ni kusisitiza kuwa kampuni yetu ipo ,inafanya kazi kwa bidii na kwa haraka sana,gharama zetu ziko wazi kabisa na hakuna rushwa wala dhuluma,na watu wote tuliopokea fedha zao kwa kipindi cha mwezi mzima sasa wamepata kazi na wengi wengine wako kwenye pending list na watapata kazi hivi karibuni.
ninapoandika ujumbe huu wapo watanzania 24 kwenye makampuni mbali mbali dsm,morogoro na arusha wakifanya interview zao leo tuu na wamepata nafasi hiyo kutoka hapa kwetu.
kuna watanzania 32 wako kazini sasa na wanafurahia kazi zao wakiwa wamesaidiwa na kampuni yetu.wako watanzania 52 watakaoanza kazi tarehe 2 /1/ 2011 ambao ni juhudi zetu na wote hao wamesaidiwa na ba ra.
kuna watanzania 420 kwenye database yetu na kila siku tunapokea cv 10 mpaka 20 za uhakika za watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi na mara moja tunawasaidia kwa malipo ya shilingi elfu hamsini tuu.
tunapokea nafasi za kazi kutoka kwenye makampuni tulioingia nao mikataba kati ya kazi 5 mpaka 8 kila wiki,na makampuni haya ni makampuni makubwa na madogo yenye uwezo wa kifedha na yenye uwezo wa kati,mashirika ya dini,ngo na mashirika ya kigeni.
matatizo;
watu wengi wanapata shida sana na sisi kutokana na kuwa hatuna address kamili kwa sasa,ni kweli kuwa tulikuwa na ofisi pale magomeni lakini umuhimu na mahitaji yetu yanaonekana kama ofisi ile haitoshi,tumeifunga na sasa tunamalizia ujenzi wa ofisi yetu pale mbezi beach africana nyumbani kwa md wetu,na hiyo itakuwa ofisi ya kudumu.
wito;
naomba wadau na wananchi wenye nia njema na watanzania kuacha upotoshaji,wapeni watu ruhusa ya kujaribu na kuona kama ba ra ni kampuni ya namna gani,hatumlazimishi mtu kutulipa fedha mapema na watu wengi tuu tumewapatia kazi kwa ahadi za malipo baadae na wengi wametulipa kutokana na juhudi zetu na jitihada na moyo wa dhati wa kuwasaidia.
with due respect i berg to present
""lets all make the tanzania we dream of""