Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Nimepangwa TEKU-MBEYA,kuishi wapi ni afadhali,gheto au hostel?. Hostel wanataka ulipe sh.1000 kwa siku 1,zidisha mara siku 240. Jumla sh.240000(nadhani hii ni gharama ya semester nzima). Kama kuna mtu anasoma au anaenda TEKU na anauzoefu anisaidie. Au kama unaufahamu vizuri mji wa Mbeya,nisaidie tafadhali.