analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Ndugu JF members, naona serikali imeamua kukaba kila kona. Na sasa, imeanza kufuatilia wanufaika wa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambao bado hawajaanza kulipa madeni yao mpaka hivi leo. So kama unataka kujua status yako, fuatilia linki hii, kisha fungua ktk chuo ulichosoma, basi utaweza kufahamu status yako. GONGA HAPA Loan Defaulters/Wadaiwa